TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Hii maana yake kwa Sisi watu wa mpira mpira tunaita " Own Goal "
Mimi huwa si mteja wa TTCL, ila kuna location fulani fulani huwa nikienda natumia mtandao wao.

Leo kuna kifurushi cha internet cha bandika bandua saa 24 (@TSH. 1000/=) kiliandikwa GB 4.. Sasa nashangaa nimejiunga nikawasha data, nikadownload "Dream League Soccer 2020" (MB 316) nkapat ujumbe et nimebakiwa na MB 50. Je, hii maana yake nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa si mteja wa TTCL, ila kuna location fulani fulani huwa nikienda natumia mtandao wao.

Leo kuna kifurushi cha internet cha bandika bandua saa 24 (@TSH. 1000/=) kiliandikwa GB 4.. Sasa nashangaa nimejiunga nikawasha data, nikadownload "Dream League Soccer 2020" (MB 316) nkapat ujumbe et nimebakiwa na MB 50. Je, hii maana yake nini?
Dream league limeshaachiwa playstore??
 
Nitajie shirika moja la umma lenye huduma nzuri...... Ni uozo kotekote
 
Alhamisi nimefika makao makuu nikataka wanisajilie Special namba,,wakanambia anaehusika na kutengeneza special namba kaenda likizo hadi 20/04/ ndo atakuwa ofisini,,nikawaambia nataka huduma ya TPESA niwe wakala wakanambia nitoe leseni,tin,id nikawapa ajabu wakanambia mkataba wa kujaza umewaishia nikawauliza ina maama kwenye computer zenu hakuna copy wakanambia hakuna mpaka sijui baada ya Pasaka maana pia hswana RIM PAPER

hapo ni makao makuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwa changamoto iyo, namba ya TTCL unayo tayari, nikusaide special number??
 
Mie nna mwaka sasa tangu nitupe line ya huo mtandao, sim card yenyewe kusoma Tu kwenye simu ilikua Hadi niisemeshe.🤣🤣, Nikajisemea tu hapana kwakweli, nikatupa line yao...
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Asante.
 
Watu hupenda kuongea vitu wasivyovijua mi nipo kijj ndani ndani voda haisomi kbsa ila baba lao ttcl naingia hadi YouTube
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Asante.
 
Back
Top Bottom