Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
hayati nilimpelekea dokezo la kupandisha akanitumbua, mama kanirudisha ofisini.Ni dalili njema!Haya nasubiri Tibisii usituangushe safari hii, unajiita mpandisha mishahara ila miaka yote hii holaa ππ
Haya baba tunakusubiri Tibisii ole wako sasa!tutakudunda hutoaminiπhayati nilimpelekea dokezo la kupandisha akanitumbua, mama kanirudisha ofisini.Ni dalili njema!
kwakuwa unahudumu katika financial institute ondoa shaka.Haya baba tunakusubiri Tibisii ole wako sasa!tutakudunda hutoaminiπ
TTCL BWANA,TUNAWAPENDA ILA SIJUI MNAFELI WAPI.
Iko siku utakuja kuona thaman ya mkalimani kwenye maisha yakosijawahi kumwamini mkalimani yoyote tanzania.
kama wa dodoma alivyotuonyesha thamani yakeIko siku utakuja kuona thaman ya mkalimani kwenye maisha yako
mkuu siku zote njia yenye mafanikio haikosi changamoto ndio maana aliomba radhikama wa dodoma alivyotuonyesha thamani yake
149*15 then chagua (10 bao bila kikomo.Zantel menu ipi?
Hakuna kipindi cha zamani weka screenshot hapa
Yaani upo sana mkuu, mimi siuachi labda niache hiyo mingineDuh hivi mtandao huu wakizenji bala bado upo?
Wap naweza pata line ya zantelZantel 1000/- napata 1.25gb + mins and sms per week au bila kikomo.