Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Huyu agent wa ttcl atachambwa mpk aione kesho yake..[emoji1787][emoji1787]
Duh!Mtaacha lini kufuatilia mawasiliano ya wateja wenu?
bado tatizo lipoTunapenda kuomba radhi wateja wetu kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na kukatika katika mara kwa mara kwa huduma zetu za mawasiliano na T PESA siku ya tarehe 06/04/2021.
Hali hii imetokana na zoezi la kuboresha mtandao wa TTCL upande wa huduma ya T PESA ambalo tulikuwa tunalifanya jana na ambalo tumelikamilisha kwa ufanisi.
Lengo la maboresho haya ni kuendelea kukupa we we mteja wetu huduma za viwango vya juu unavyostahili.
Kila wakuibuka, wanaibuja na thread mpya badala ya kuendeleza Ile thread ya mwanzo. Kumbe wanaogopa maswali!Muwe mnajibu Comments sio mnapost halafu mnapotea.
Mnaogopa maswali?
kwa maana hiyo mmejoint na tigo? Wote mlipotea ghafla.Tunapenda kuomba radhi wateja wetu kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na kukatika katika mara kwa mara kwa huduma zetu za mawasiliano na T PESA siku ya tarehe 06/04/2021.
Hali hii imetokana na zoezi la kuboresha mtandao wa TTCL upande wa huduma ya T PESA ambalo tulikuwa tunalifanya jana na ambalo tumelikamilisha kwa ufanisi.
Lengo la maboresho haya ni kuendelea kukupa we we mteja wetu huduma za viwango vya juu unavyostahili.
Tumekusikia ndugu mteja.Hebu nyie ttcl onyeshen ukomavu na muwe na ubunifu
Kuna kifurushi cha data cha 1.2gb mnatoa kwa siku 5 hebu hicho kifurushi cha siku 5 kipeleken siku 7 muone kama watu hawajaja kwenu
Halotel wanawapiga bao kwenye data hasa sh 1000 kwa gb 1 kwa wiki
Hebu njoen na kitu tofaut kitakachowaleta watu kwenu na ongezen ubunifu zaid na sio kama hiv mnavoenda
Shukrani sana kwa ushauri wako1.Tabia ya kuzima SMS za wateja wenu wangali bado wametumia robo au nusu ya kifurushi kabla ya mwezi, Pigo hiyo acheni.
2.Hii ya kutuma SMS haziendi mara kwa mara wakati niko mjini kati Rock City na SMSC NO iko sahihi, Tatizo nini?
3.Ningetamani kuona STANBIC BANK mnaungana nayo ktk huduma ili nasi wenye a/c pale tupate raha ya kufanya miamala.
4.Mnaonaje mkiunganisha huduma ya VISA CARD na MASTERCARD ili tuweze ku-shop online?
5.Natamani iwepo namba nyingine badala ya 212121 ambayo ukirusha pesa inaingia T-PESA moja kwa moja kama pesa na si kama salio la simu.
unataka niweke namba yangu hapa kila mtu aone?Namba yako ya simu tafadhali
Nko dsm ...Au niende pale hq karibu na ubaloz wa U.S.AMkuu ingekuwa deal ningekutafutia ila sijui hata inauzwa shs ngapi kwa sasa.
But sijui upo mkoa gani ?
Kifurushi gani hikiNione aibu nimetembea uchi au?
Nimepata 2.5GB kwa tsh 1,500
Kwanini nisiwasifie??
Boom Internet! Line ya Chuo.Kifurushi gani hiki