TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Kwa hiyo mmeambizana na wenzenu tiGO na Voda?

Mmeshindisha watu njaa na mmetembeza watu kwa miguu.

Kwendreeeeni huko!
 
mmedoda sana..

hapo ungeweka na ka dokezo... labda menu ya kuingia kupata huduma za T-pesa
 
Tunapenda kuomba radhi wateja wetu kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na kukatika katika mara kwa mara kwa huduma zetu za mawasiliano na T PESA siku ya tarehe 06/04/2021.

Hali hii imetokana na zoezi la kuboresha mtandao wa TTCL upande wa huduma ya T PESA ambalo tulikuwa tunalifanya jana na ambalo tumelikamilisha kwa ufanisi.

Lengo la maboresho haya ni kuendelea kukupa we we mteja wetu huduma za viwango vya juu unavyostahili.

bado tatizo lipo
 
1.Tabia ya kuzima SMS za wateja wenu wangali bado wametumia robo au nusu ya kifurushi kabla ya mwezi, Pigo hiyo acheni.

2.Hii ya kutuma SMS haziendi mara kwa mara wakati niko mjini kati Rock City na SMSC NO iko sahihi, Tatizo nini?

3.Ningetamani kuona STANBIC BANK mnaungana nayo ktk huduma ili nasi wenye a/c pale tupate raha ya kufanya miamala.

4.Mnaonaje mkiunganisha huduma ya VISA CARD na MASTERCARD ili tuweze ku-shop online?

5.Natamani iwepo namba nyingine badala ya 212121 ambayo ukirusha pesa inaingia T-PESA moja kwa moja kama pesa na si kama salio la simu.
 
JamiiForums
Home Of Greater Thinker Dare To Talk Open.
JPM Alisema Muende Mkawajibu Huko Kwenye Mitandao 😣😏🤔😏🕶💨
 
Tunapenda kuomba radhi wateja wetu kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na kukatika katika mara kwa mara kwa huduma zetu za mawasiliano na T PESA siku ya tarehe 06/04/2021.

Hali hii imetokana na zoezi la kuboresha mtandao wa TTCL upande wa huduma ya T PESA ambalo tulikuwa tunalifanya jana na ambalo tumelikamilisha kwa ufanisi.

Lengo la maboresho haya ni kuendelea kukupa we we mteja wetu huduma za viwango vya juu unavyostahili.

kwa maana hiyo mmejoint na tigo? Wote mlipotea ghafla.
 
Hebu nyie ttcl onyeshen ukomavu na muwe na ubunifu

Kuna kifurushi cha data cha 1.2gb mnatoa kwa siku 5 hebu hicho kifurushi cha siku 5 kipeleken siku 7 muone kama watu hawajaja kwenu

Halotel wanawapiga bao kwenye data hasa sh 1000 kwa gb 1 kwa wiki

Hebu njoen na kitu tofaut kitakachowaleta watu kwenu na ongezen ubunifu zaid na sio kama hiv mnavoenda
Tumekusikia ndugu mteja.

#RudiNyumbaniKumenoga
 
1.Tabia ya kuzima SMS za wateja wenu wangali bado wametumia robo au nusu ya kifurushi kabla ya mwezi, Pigo hiyo acheni.

2.Hii ya kutuma SMS haziendi mara kwa mara wakati niko mjini kati Rock City na SMSC NO iko sahihi, Tatizo nini?

3.Ningetamani kuona STANBIC BANK mnaungana nayo ktk huduma ili nasi wenye a/c pale tupate raha ya kufanya miamala.

4.Mnaonaje mkiunganisha huduma ya VISA CARD na MASTERCARD ili tuweze ku-shop online?

5.Natamani iwepo namba nyingine badala ya 212121 ambayo ukirusha pesa inaingia T-PESA moja kwa moja kama pesa na si kama salio la simu.
Shukrani sana kwa ushauri wako
 
Sio kweli mkuu natumia Ttcl na nina ishi. Dar apa apa ila kupata vocha na T pesa huwa. Ni issue mpk ni amishie kwa line ya voda au airtel ndio ni weze kutoa kwa wakala maana wakala n wachache na pia hawatoi huduma hasa hasa kutoa pesa labd kuweka wengi wao
 
Ijumaaa nme zinguka posta karibia half an hour ndio nka pata wakala anaye kubali kutoa pesa via Tpesa weng hawatoi wana dai transaction hazitembei kabisa hususan kuweka so ukija una taka kutoa wana kwambia hamna huduma
 
Kama kunakua na tatizo la kiufundi mtwambie kua kuna tatizo upande fulani na litachukua muda gani sio mpaka tuanze kulalamika ndo mseme..hao wataalam wa t-pesa wanatengeneza mpaka lini?
 
Back
Top Bottom