Mimi huwa si mteja wa TTCL, ila kuna location fulani fulani huwa nikienda natumia mtandao wao.
Leo kuna kifurushi cha internet cha bandika bandua saa 24 (@TSH. 1000/=) kiliandikwa GB 4.. Sasa nashangaa nimejiunga nikawasha data, nikadownload "Dream League Soccer 2020" (MB 316) nkapat ujumbe et nimebakiwa na MB 50. Je, hii maana yake nini?
Dream league limeshaachiwa playstore??Mimi huwa si mteja wa TTCL, ila kuna location fulani fulani huwa nikienda natumia mtandao wao.
Leo kuna kifurushi cha internet cha bandika bandua saa 24 (@TSH. 1000/=) kiliandikwa GB 4.. Sasa nashangaa nimejiunga nikawasha data, nikadownload "Dream League Soccer 2020" (MB 316) nkapat ujumbe et nimebakiwa na MB 50. Je, hii maana yake nini?
😀 😛 😵 Goli la mkonoCapital G said:Hii maana yake kwa sisi watu wa mpira mpira tunaita "Own Goal"
Ndio mkuu.Smart Guy said:Dream league limeshaachiwa playstore?
[emoji120]Ndio mkuu.
Pole kwa changamoto iyo, namba ya TTCL unayo tayari, nikusaide special number??Alhamisi nimefika makao makuu nikataka wanisajilie Special namba,,wakanambia anaehusika na kutengeneza special namba kaenda likizo hadi 20/04/ ndo atakuwa ofisini,,nikawaambia nataka huduma ya TPESA niwe wakala wakanambia nitoe leseni,tin,id nikawapa ajabu wakanambia mkataba wa kujaza umewaishia nikawauliza ina maama kwenye computer zenu hakuna copy wakanambia hakuna mpaka sijui baada ya Pasaka maana pia hswana RIM PAPER
hapo ni makao makuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.Huo Mtandao Ni Jijini Tu
Huko Vijijini Shida
*150*71#
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.TTCL wao ndio wamiliki wa mkongo wa taifa wa fiber, nashindwa kuelewa kwanini wako slow?
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.Niliitupa nikahamia Zantel
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.Mie nna mwaka sasa tangu nitupe line ya huo mtandao, sim card yenyewe kusoma Tu kwenye simu ilikua Hadi niisemeshe.🤣🤣, Nikajisemea tu hapana kwakweli, nikatupa line yao...
*150*71#Jamani mim naomba menyu ya T- pesa
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.Ni kweli ttcl ni janga,si vijijini wala mjini kote ni tia maji tia maji
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.Watu hupenda kuongea vitu wasivyovijua mi nipo kijj ndani ndani voda haisomi kbsa ila baba lao ttcl naingia hadi YouTube