TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Akili za kizee hizi basi mnajiona wabunifuuuu?!.Bure kabisa.
 
wanajf mnampa wakati mgumu customer care hadi anashindwa kujibu chochote hahaaaaa
 
Umebadili upepo, umejivua uzalendo unaohimiza kila siku
Kila jambo ni lazima liwe na "limit" yake. Siwezi kuwapa watu faida kwa kisingizio cha uzalendo wakati wao wanaenda kuuza idea hiyo kwa kampuni binafsi.

Bora nife na ideas zangu kuliko kufurahisha wengine huku mimi sipati chochote.
 
Tunawapa hela mnapoteza kwenye bleach ya nandy . Tunalaliwa sana tunaibiwa sana
 
Kwa Nandy yule mwendesha magenge ya uhalifu watakua wanamsingizia tu,demu hamna kitu kabisa.
 
Kusaini mkataba na Nandy kunaboresha vipi huduma zenu kwa wateja wenu????
 
Mna mapungufu kadhaa ( tena ya Kimsingi ) na yanayokera zaidi, ila kwa sasa GENTAMYCINE naendelea ' Kumsagia Kunguni ' Paul Makonda nikimalizana nae nahamia Kwenu na mtanikoma kwani Jumamosi iliyopita mmenikosesha Huduma Kipopoma ( Kipumbavu ) mno hadi nikamkosa Hewani Mwanamke niliyemuhangaikia Kumtongoza Mwezi mzima aliyeniahidi Kuniletea ' Mbunye ' yake mpaka hatimaye kasafiri zake kurejea kwa Mumewe Mzungu Ujerumani.
 
NANDY anaenda kula fedha za walipa kodi maskini.
TTCL NI JANGA ZAIDI YA OLE SABAYA.
 
Back
Top Bottom