Huyo Tapeli ni mmoja tu, ametumia kitambulisho kimoja kwa line zaidi ya Mia moja. Maana siku moja nilifuatilia nikakuta namba zake zingine TTCL wameziblock tayari hazitumiki. Zilikuwa namba kama 15 hivi zilizo kuwa blocked.Kwa nini namba zenu zinatumika Sana na matapeli wanaotuma jumbe za tuma pesa kwenye namba hii?
Mbona hujasema hasa TTCL inakuwa Mkia kwenye eneo lipi mkuu?Huwa nasikitika sana nikiiona TTCL inafanya mambo kama simba mzee. Enzi hizo posta na simu ilikuwa kampuni kubwa sana ikimiliki miundo mbinu ya posta na mawasiliano ya simu. Nilitegemea TTCL awe na ndio namba 1 kwa huduma ya mtandao ulio na kasi zaidi kuliko kampuni yoyote na pia POSTA awe ndio BANK kubwa nchini inayotumia Sci, techn na Innov wakati wengine wangekuwa wanafuata kwa mbali . Lakini TTCL ndio wamekuwa mkia katika technologia na innovation ktk mtandao. Nifahamisheni mtazinduka lini?
Mikucha mibayaaaaView attachment 1812220
Nikaiweke chooni ndio dawa yao hawa
Mimi leo nimechuna vibaya nimeambiwa 24 hrs ndio nasikikiziaTTCL acheni usanii nitahama huu mtandao soon. jumamosi iliopita nilichuna vibaya vocha za ttcl. nilipiga simu customer service nikaambiwa nitume serial no kisha within 24hrs tatizo litakuwa solved. sasa inaenda wiki kila nikijaribu kupiga simu kuulizia naambiwa kuna changamoto, sijui nitatumiwa msg. tatizo kama hili lishawahi kunikuta huko nyuma na sikupata voucher yangu lakini nikapuizia. This time msiposolve hii issue nahama
Tangu lini kampuni za serikali zikafanya biashara na kufanikiwa? tegemea machungu zaidi na hasara kubwaHuwa nasikitika sana nikiiona TTCL inafanya mambo kama simba mzee. Enzi hizo posta na simu ilikuwa kampuni kubwa sana ikimiliki miundo mbinu ya posta na mawasiliano ya simu. Nilitegemea TTCL awe na ndio namba 1 kwa huduma ya mtandao ulio na kasi zaidi kuliko kampuni yoyote na pia POSTA awe ndio BANK kubwa nchini inayotumia Sci, techn na Innov wakati wengine wangekuwa wanafuata kwa mbali . Lakini TTCL ndio wamekuwa mkia katika technologia na innovation ktk mtandao. Nifahamisheni mtazinduka lini?