Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
hahahahaVocha yenyewe kuipata utadhani unatafuta ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaVocha yenyewe kuipata utadhani unatafuta ajira
Hamia Zantel
Na wewe mkuu yaani unahatarisha maisha yako kipindi cha corona kwenda kuulizia TTCL makao makuu vocha ya 500,hivi siku hizi bado kuna watu mnakwangua vocha? unakwangua na ukijukuta umekwangua namba ya vocha ,mwishowe unabaki huna vocha.Sio siri ngoja niende kwenya mada moja kwa moja.
Huu mtandao una matatizo mengi sana kama yafuatayo:
1. Huduma ya T PESA
Aisee huu mtandao kama utatuma hela siku ya Ijumaa usiku ghafla litokee tatizo wallah utakuja kuhudumiwa siku ya Jumatatu.
Hili tatuzo limenipata juzi hapa Ijumaa tarehe 7 yaani nilitamani kulia wallah.
2. Vifurushi
Hawa majamaa ukitaka uende nao sawa kwenye masuala ya MBs nakushauri tafuta kitambulisho cha chuo.
Aisee yaani GB 5 kwa Tsh 5000 mwezi mzima.
3. Vocha
Asikwambie mtu, TTCL hawana vocha aisee. Jana nimeenda pale Makao Makuu niliulizia vocha ya 500 hakuna wanasema zipo za 1,000.
Aisee ukienda kuulizia madukani yaani muuzaji anaweza akashangaa maana hiyo vocha ya TTCL ndiyo kwanza anaisikia kwako.
Kilichonipata jana
Nilijiapiza nikaonane na Afisa Masoko pale Makao Makuu pale Posta ili nimshauri kitu kimoja tu. Yaani nikafika mapokezi nikaonane na bwana Kindamba lakini nikazuiliwa.
Yule mama wa mapokezi aliongea sana mpaka wakati naondoka nimeinamishwa kichwa chini kwa masikitiko. Maana shida yangu nilitaka kuonana na Afisa Masoko au CEO wao.
Nilitaka niwambie kama vocha mtaani ni ngumu basi katika option ya kununua bando mteja achague alipe upitia T PESA au salio la kawaida.
Zantel imenunuliwa na Tigo,kwa hiyo Zantel na Tigo nikitu kimoja.Hivi zantel IPO?
HahahaNa wewe mkuu yaani unahatarisha maisha yako kipindi cha corona kwenda kuulizia TTCL makao makuu vocha ya 500,hivi siku hizi bado kuna watu mnakwangua vocha? unakwangua na ukijukuta umekwangua namba ya vocha ,mwishowe unabaki huna vocha.