Mbona hamna kijana hata mmoja hapo, wote wazee kama huduma zao zilivyo za kizee..!Huyo Dada hafanani kufanya kazi hapo kwenye kampuni ya kizee anatakiwa awahame kabisa
[emoji1666][emoji1666]Mtafanya mengi lakini bila kuboresha reliability ya mtandao wenu mtaendelea kusuasua.
Atakuambia job securityHuyo Dada hafanani kufanya kazi hapo kwenye kampuni ya kizee anatakiwa awahame kabisa
Ndio maana ubunifu zeroMbona hamna kijana hata mmoja hapo, wote wazee kama huduma zao zilivyo za kizee..!
Anzisha wa kwakoAchen kutumia kod za watanzania kizembe
Mtandao gani hata kusambaza vocha mmeshindwa
Sijui hata faida mnapataje nyie wahuni
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Chenga
Kanungila Karim
Nakutafuta Mkuu. Naomba unikumbushe namna ya kuhamisha fedha kutoka account inayopokea Commission kwenda kwenye akaunti ya kuhudumia wateja.
Natanguliza Shukrani.
Mtafanya mengi lakini bila kuboresha reliability ya mtandao wenu mtaendelea kusuasua.
Kuna option ni vyema ingekuwepo. Cha usiku au masaa 24Novemba 26,2021 Mkurugenzi wa Biashara Vedastus Mwita na Meneja Masoko Janeth Maeda wa TTCL Corporation wakizindua kifurushi kipya BUFEE PACK ambacho kinampa fursa Mteja kujitengenezea bando kwa gharama nafuu bila kikomo.
Piga *148*30# kisha chagua namba 6.
#RudiNyumbaniKumenoga