TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aaaaaah nyie vijana mnapelekeshwa na wazee wanaotumia vitochi katika age ya smartphone so hata hawaoni umuhimu wa bundle kuwa kubwa.... Wanarahisisha maisha kipuuzi.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Customer care kumbe inabidi issue ya kupanic isiwe sifa yako kbs 😂😂😂😂😂 makavu live duh!
 
Huu mtandao naona wapo kama jina tu , mm ata laini zao sijawahi kuziona

Tatizo hawapo kiushindani
 
TTCL ukiwa Nyerere square hapa Dodoma inakuwa na mwendo wa kobe sijui kule home Mnacho inakuwaje?
 
Huu mtandaoni wenu kuutumia yahitaji moyo wa chuma maana line ninayo ila ninacho pata na nilicho ambiwa ni vitu viwili tofauti, sijawahi kuona shirika la uma la hivi, Director general wenu inapaswa apewe kazi nyingine ya kufanya
 
Huu mtandao ni utopolo wa hali ya juu.
1.Picha linaanza simu ina bando ila kuperuzi haiwezekani ama usubiri usiku sanaaaa
2.Kupiga simu customer care muda wowote wakipokea katambikie mizumu ya kwenu
3.*148*30# ukachagua INTERNET then ukaenda kwny T-connect plus unakutana na vifurushi vya siku
-Tsh500=300mb
-Tsh1000=750mb
-Tsh2000=2gb
Yani vifurushi vya siku vina gharama kubwa kuliko mitandao mengine yote niliowai kutumia afu bila kusahau kuwa net yao ni pasua kichwa ukitoka mitaa ya posta tu hupati kitu
4.Ukitumia T-Pesa huwe tayari na ela ya akiba mana uwezekano wa muamala kutokukamilika ni mkubwa afu ukiwapigia simu ata wiki nzima hawapokei
5.Makato ya T-Pesa kuenda sambamba na mitandao pendwa mingine huu nao ni uzwauzwa wa kiwango cha PhD.
6.Taarifa za TCRA zinasema wateja kama laki 6 wanatumia huu mtandao maajabu ni kuwa wanashindwa kuudumia wateja laki 6,je wataweza wateja 10M+ km voda na tigo
7.Mtandao ambao ukitoka Dar kwenda mikoani simu yako inageuka kuwa Calculator mana hakuna mtandao tena hapo
8.Mtandao ambao nikiweka jero napata dakika 10 tu usawa wenyewe huu wa magu
9.Mwisho nilikuwa mteja mtiifu wa huu mtandao kipindi unaanza ila nilishatupilia mbali line yao mana ni zaid ya utopolo aseee

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maoni, nilitaka nikasajiri laini yao ila kwa haya uliyoandika, watanisikia kwenye redio ya Panasonic double decks 🙅🏾‍♂️
 
Huu mtandao ni utopolo wa hali ya juu.
1.Picha linaanza simu ina bando ila kuperuzi haiwezekani ama usubiri usiku sanaaaa
2.Kupiga simu customer care muda wowote wakipokea katambikie mizumu ya kwenu
3.*148*30# ukachagua INTERNET then ukaenda kwny T-connect plus unakutana na vifurushi vya siku
-Tsh500=300mb
-Tsh1000=750mb
-Tsh2000=2gb
Yani vifurushi vya siku vina gharama kubwa kuliko mitandao mengine yote niliowai kutumia afu bila kusahau kuwa net yao ni pasua kichwa ukitoka mitaa ya posta tu hupati kitu
4.Ukitumia T-Pesa huwe tayari na ela ya akiba mana uwezekano wa muamala kutokukamilika ni mkubwa afu ukiwapigia simu ata wiki nzima hawapokei
5.Makato ya T-Pesa kuenda sambamba na mitandao pendwa mingine huu nao ni uzwauzwa wa kiwango cha PhD.
6.Taarifa za TCRA zinasema wateja kama laki 6 wanatumia huu mtandao maajabu ni kuwa wanashindwa kuudumia wateja laki 6,je wataweza wateja 10M+ km voda na tigo
7.Mtandao ambao ukitoka Dar kwenda mikoani simu yako inageuka kuwa Calculator mana hakuna mtandao tena hapo
8.Mtandao ambao nikiweka jero napata dakika 10 tu usawa wenyewe huu wa magu
9.Mwisho nilikuwa mteja mtiifu wa huu mtandao kipindi unaanza ila nilishatupilia mbali line yao mana ni zaid ya utopolo aseee

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Mgt yao wazee wengi
 
Hili shirika letu la umma kazi sana, hivi hawana watu wa marketing ? au ndo linajiendesha kwa hasara

Sasa Co. imejaza wazee tupu ofisini kwao,ukienda kutaka huduma asubuhi tu watu wana visirani cyao wkt washindani wao Voda/Tigo wamejaza vijana tupu na kazini ni mwendo wa performance appraisal kwa sana.
 
Back
Top Bottom