Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aaaaaah nyie vijana mnapelekeshwa na wazee wanaotumia vitochi katika age ya smartphone so hata hawaoni umuhimu wa bundle kuwa kubwa.... Wanarahisisha maisha kipuuzi.
Hakuna kitu hapo, mulianza kwa makeke laakini data siloo hadi kero, kumpata castoma care tu masaa kumi, kudownload vitu tu internet hakuna utadhani upo kuzimu, halotel mbona wameweza wakat nyie wa kitambo tangu nipo chekechea nawasikiaFurahia kifurushi LONGA PACK
Piga *148*30#View attachment 1478264View attachment 1478265
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maoni, nilitaka nikasajiri laini yao ila kwa haya uliyoandika, watanisikia kwenye redio ya Panasonic double decks 🙅🏾♂️Huu mtandao ni utopolo wa hali ya juu.
1.Picha linaanza simu ina bando ila kuperuzi haiwezekani ama usubiri usiku sanaaaa
2.Kupiga simu customer care muda wowote wakipokea katambikie mizumu ya kwenu
3.*148*30# ukachagua INTERNET then ukaenda kwny T-connect plus unakutana na vifurushi vya siku
-Tsh500=300mb
-Tsh1000=750mb
-Tsh2000=2gb
Yani vifurushi vya siku vina gharama kubwa kuliko mitandao mengine yote niliowai kutumia afu bila kusahau kuwa net yao ni pasua kichwa ukitoka mitaa ya posta tu hupati kitu
4.Ukitumia T-Pesa huwe tayari na ela ya akiba mana uwezekano wa muamala kutokukamilika ni mkubwa afu ukiwapigia simu ata wiki nzima hawapokei
5.Makato ya T-Pesa kuenda sambamba na mitandao pendwa mingine huu nao ni uzwauzwa wa kiwango cha PhD.
6.Taarifa za TCRA zinasema wateja kama laki 6 wanatumia huu mtandao maajabu ni kuwa wanashindwa kuudumia wateja laki 6,je wataweza wateja 10M+ km voda na tigo
7.Mtandao ambao ukitoka Dar kwenda mikoani simu yako inageuka kuwa Calculator mana hakuna mtandao tena hapo
8.Mtandao ambao nikiweka jero napata dakika 10 tu usawa wenyewe huu wa magu
9.Mwisho nilikuwa mteja mtiifu wa huu mtandao kipindi unaanza ila nilishatupilia mbali line yao mana ni zaid ya utopolo aseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha dhihaka na utoto
Tatizo Mgt yao wazee wengiHuu mtandao ni utopolo wa hali ya juu.
1.Picha linaanza simu ina bando ila kuperuzi haiwezekani ama usubiri usiku sanaaaa
2.Kupiga simu customer care muda wowote wakipokea katambikie mizumu ya kwenu
3.*148*30# ukachagua INTERNET then ukaenda kwny T-connect plus unakutana na vifurushi vya siku
-Tsh500=300mb
-Tsh1000=750mb
-Tsh2000=2gb
Yani vifurushi vya siku vina gharama kubwa kuliko mitandao mengine yote niliowai kutumia afu bila kusahau kuwa net yao ni pasua kichwa ukitoka mitaa ya posta tu hupati kitu
4.Ukitumia T-Pesa huwe tayari na ela ya akiba mana uwezekano wa muamala kutokukamilika ni mkubwa afu ukiwapigia simu ata wiki nzima hawapokei
5.Makato ya T-Pesa kuenda sambamba na mitandao pendwa mingine huu nao ni uzwauzwa wa kiwango cha PhD.
6.Taarifa za TCRA zinasema wateja kama laki 6 wanatumia huu mtandao maajabu ni kuwa wanashindwa kuudumia wateja laki 6,je wataweza wateja 10M+ km voda na tigo
7.Mtandao ambao ukitoka Dar kwenda mikoani simu yako inageuka kuwa Calculator mana hakuna mtandao tena hapo
8.Mtandao ambao nikiweka jero napata dakika 10 tu usawa wenyewe huu wa magu
9.Mwisho nilikuwa mteja mtiifu wa huu mtandao kipindi unaanza ila nilishatupilia mbali line yao mana ni zaid ya utopolo aseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Pendekeza kifurushi unachoona kinafaa.Mmeshafeli.
[emoji23][emoji23][emoji23]Bint SayuniSawa binti sayuni.
Tupe ushauri wako ili tujue wafanyaje ili kampuni iwe matawi ya juu?Hili shirika letu la umma kazi sana, hivi hawana watu wa marketing ? au ndo linajiendesha kwa hasara
Hili shirika letu la umma kazi sana, hivi hawana watu wa marketing ? au ndo linajiendesha kwa hasara
Tunakusikiliza.Sasa Co. imejaza wazee tupu ofisini kwao,ukienda kutaka huduma asubuhi tu watu wana visirani cyao wkt washindani wao Voda/Tigo wamejaza vijana tupu na kazini ni mwendo wa performance appraisal kwa sana.