Haya mambo ya kuunga bundle kila siku yanatia uvivu. Wekeni equivalent bundles za wiki na mwezi, tena ikibidi hata miezi mitatu.CORPORATION Inakupa
1. Gb 4 kwa sh. 1000 tu masaa 24 ( Vigezo na masharti kuzingatiwa)
Menu ... Piga *148*30# chagua No. 5 TTCL BUNDLE THEN BANDIKA BANDUA.
Huu mtandao gan mzeeLeteni angalau hivi au zaidiView attachment 1483044
NiPM namba yako tafadhali.Mkuu@TTCL custome care, naomba msaada ,simu yangu iliharibika nikaiweka ndani kwa muda wa mwezi na nusu, nimepata simu mpya naweka voucher imekataa, napiga customer care wananijibu kwamba nimevuka kiwango cha malipo ya simu. Anastahili kufanya je ili niwezie kutumia lakini yangu tena
Kama yapIla mna maeneo mengi ya kuboresha ili muweze kuendana na kasi ya washidani.. Huduma zenu zinalalamikiwa mno.. Pengine kuliko mitandao mingine yote
Naunga mkono hoja.Hii kampuni kunabaadhi ya Mambo wanayotakiwa kuyaweka sawa ili wateja wavutike kuutumia. Jambo la kwanza ni kuhakikisha upatikanaji wa vocha zao maeneo mengi mtaani coz wengi wanaweza wasihamasike kutumia huu mtandao kwa kuwazia changamoto ya upatikanaji wa vocha maeneo wanayoishi. Japo najua zipo njia mbadala za kupata salio lakini mteja ni mtu ambaye hapendi usumbufu. Jambo la pili lazma wahakikishe salio la kupiga mitandao mingine liwe na dakika nying kwa gharama nafuu coz haiwezekani mtu anunue salio apewe dakika 35 za kupiga ttcl to ttc na dakika 5 kwenda mitandao mingine angali kwenye simu unawatu wasiozidi wawili wanaotumia mtandao wa ttcl Sasa sijui itakulazimu uongee nao tu ili kuzimaliza hizo dakika 35.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aaaaaah nyie vijana mnapelekeshwa na wazee wanaotumia vitochi katika age ya smartphone so hata hawaoni umuhimu wa bundle kuwa kubwa.... Wanarahisisha maisha kipuuzi.
Ni voda hao"Huu mtandao gan mzee
Bei ni 50,000 na 75,000.Je, napataje modem za mtandao wa TTCL, na nazipata kwa bei ya shingapi?
Tunashukuru kwa kutuandikia.TTCL rekebisheni hili tatizo la mtandao wenu kupatikana katikati ya miji tu.
Tunajibu na kuzitatua changamoto za wateja wetu.Naomba kujua, hivi huu uzi mlioanzisha mtasoma tu comments au na majibu mtatoa?
Asante kwa ushauri wako.Obvious suala nitakalozungumzwa Pasi na shaka limezungumzwa na members hapo juu, Ila nitumie tu fursa hii kukazia maarifa, kiukweli TTCL ndio mtandao wangu kwa Mishe ya Internet na ninaenjoy vifurushi vyenu. Ila tatizo kubwa mpo tu katikati ya miji.
Napata shida sana nipokwenda nyumbani kusalimie huko Lindi vijijini.. Yaan ukianza kuiacha tu municipal ya Lindi basi mtandao unasepa mazima.
Nipo pale Nyangao - Lindi barabara kuu ya kuelekea Masasi District Ila mtandao hausomi kabisa.
Kwa nini wasiwe kama halotel ambao wanapatikana hadi remote area..?
Kuhusu suala la vocha za TTCL huwa siwazii, actually vocha zao ni adimu sana hata mijini Ila kwa kuwa kuna huduma ya T-Pesa hii ndo inanirahisishia sana, So naomba mlifanyie kazi hili.
Ni Mimi mteja wa TTCL kutoka NYANGAO-LINDI