TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Wee ndio mtu wa marketing kiongozi...? Kwa hiyo hapo ndio Umemaliza kwa upande wa vifurushi mlivyonavyo...?
 
Jibu lako ni hilo hilo moja kwa kila tatizo kwenye hii thread?

“Pole kwa changamoto hiyo,tafadhali tufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.”

Wewe ni robot?
 
NiPM namba yako tafadhali.
 
Wananzengo, niende moja kwa moja kwenye HOJA.

Nimekuwa nikijiuliza hivi hii kampuni ya TTCL ipo au ilishakufa maana hatuoni inafanya nini. Imeshindwa kabisa hata kuuza tu vocha, sasa bila kuuza vocha inapata wapi fedha za kujiendesha?

Kwanini hakuna hatua za kufumua hiyo kampuni mapema ili kuondoa hasara?
 
Naunga mkono hoja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aaaaaah nyie vijana mnapelekeshwa na wazee wanaotumia vitochi katika age ya smartphone so hata hawaoni umuhimu wa bundle kuwa kubwa.... Wanarahisisha maisha kipuuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona mtamdao upo poa nowdays.
 
Asante kwa ushauri wako.
Tunaufanyia kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…