Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kwa Bahati mbaya nilikiacha mkoaniKitambulisho cha chuo bado unacho?
Duh.Kwa Bahati mbaya nilikiacha mkoani
Pole sana mkuuSalaam. Tatizo kubwa kwangu, akatika kutumia TTCL ni kutokuwapo kwa mawimbi sehemu nyingi za Nchi yetu. Wilayani, Katani na Vijijini. Hivyo, kunilazimu niwe na akiba ua Laini kadhaa za Mitandao mingine kila ninaposafiri. Hujiuliza, Je! hamuwezi kushirikiana na Minara ya Mitandao mingine kueneza mtandao wenu.
Lipoje hiloduh si bora nibaki na boom pack kwa 2500/=
Na hii huwa ndo michezo ya wengi Rafiki.Tatizo sio bando tatizo mnabania kasi ya network
Na hii huwa ndo michezo ya wengi Rafiki.
Waeza kuta kifurushi kizito ila sasa kasi yake waeza juta kujiunga.
Nadhani mleta uzi atalipeleka wakalifanyie kazi sababu huo ni uhuni.Sana ila hawa ttcl sina hamu nao hasa ninapounga bandika bandua au kile toboa night. Bora halotel wao ukiona wingu tu unajiandaa kwa hasara,hivyo unaamua kuunga au kuacha
Nadhani mleta uzi atalipeleka wakalifanyie kazi sababu huo ni uhuni.
Nadhani mleta uzi atalipeleka wakalifanyie kazi sababu huo ni uhuni.
Mtani uzi wa vifurushi huu. ππππMtani za saa hizi, bado masaa yasiyozidi 48.
Mtani uzi wa vifurushi huu. ππππ
#ainozat
Yabidi aisee Mtani.Ndiyo, tujiunge hiki kifurushi cha wiki ili tuwe online siku hiyo.
#justareminder
Yabidi aisee Mtani.
Japo ile siku huwaga simu naiweka mbali ambapo saa ingine nasaaugi hata wapi nimeweka mana naona itanitia stress. πππ
#thanks.