TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Salaam. Tatizo kubwa kwangu, akatika kutumia TTCL ni kutokuwapo kwa mawimbi sehemu nyingi za Nchi yetu. Wilayani, Katani na Vijijini. Hivyo, kunilazimu niwe na akiba ua Laini kadhaa za Mitandao mingine kila ninaposafiri. Hujiuliza, Je! hamuwezi kushirikiana na Minara ya Mitandao mingine kueneza mtandao wenu.
 
Upatikanaji wa vocha ni changamoto kwa maeneo yaliyo pembeni ya mji
 
Salaam. Tatizo kubwa kwangu, akatika kutumia TTCL ni kutokuwapo kwa mawimbi sehemu nyingi za Nchi yetu. Wilayani, Katani na Vijijini. Hivyo, kunilazimu niwe na akiba ua Laini kadhaa za Mitandao mingine kila ninaposafiri. Hujiuliza, Je! hamuwezi kushirikiana na Minara ya Mitandao mingine kueneza mtandao wenu.
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom