TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aaaaaah nyie vijana mnapelekeshwa na wazee wanaotumia vitochi katika age ya smartphone so hata hawaoni umuhimu wa bundle kuwa kubwa.... Wanarahisisha maisha kipuuzi.
Sawa mkuu[emoji3][emoji3]
 
Solved
 
Hi,
Sometime last year, my wife and self acquired two TTCL mobile SIM cards from one of your promotions official. Despite handing copies of our NIDA cards, both numbers ended up being registered under one name.
In wake of the TCRA's new regulations what can be done to rectify the matter? we both would like to retain your services.
Thanks.
 

Nina line ya TTCL, kuna wakati nikbadilisha na kuweka hiyo line kwenye baadhi ya simu, inaniandikia TIGO badala ya TTCL, swali langu ni kwanini inakuwa hivyo?
 
Mvua ikinyesha shida, ukiingia chumbani shida,ukiwa remote area shida,ukiwa kwenye mkusanyiko wa watu shida.Boresheni network.
 
Nina line ya TTCL, kuna wakati nikbadilisha na kuweka hiyo line kwenye baadhi ya simu, inaniandikia TIGO badala ya TTCL, swali langu ni kwanini inakuwa hivyo?
Hiyo ni ROAMING.
Yaani ni kwamba TTCL ina minara michache sana.
Hivyo wameona washee minara na kampuni ya TIGO.
 
TTCL Customer Care

Hi,
Sometime last year, my wife and self acquired two TTCL mobile SIM cards from one of your promotions official. Despite handing copies of our NIDA cards, both numbers ended up being registered under one name.
In wake of the TCRA's new regulations what can be done to rectify the matter? we both would like to retain your services.
Thanks.
 
Jamani TTCL hapa tabata kimanga, jirani na shule ya msingi kisukuru mtandao wenu unasunbua sana. Internet haipatikani kabisa. Ni muda mrefu hamtaki kutatua tatizo hili. Kulikoni TTCL Itabidi tuseme nyumbani HAKUNOGI
 
Uzi wa kipumbaf sana huu.

Iweje wateja tujiulize na kujijibu sisi wenyewe kwa njia ya zogo wakati staff walioanzisha uzi hawatoi majibu, ushauri wala suluhisho lolote.

Ina maana walianzisha uzi huu kutusanifu na kutung'ong'a akili zetu siyo?
 
Wakuu niko dodoma, niko kwenye hotel inaitwa dodoma hotel,

Jengo la pemben yangu ni makao makuu ya ttcl,

Maajabu ambayo nimeshangaa Yan Mpaka hapa nilipo ambapo ni karibu kabisa na makao Yao makuu napo network hakuna

Ni bora serikali ikataifisha hata halotel au Vodacom na ikawa ndio kampun ya serikali kuliko hawa ttcl,

Kama pemben ya jengo lao hakuna network je huko nje ya mji Kuna Hali gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…