TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Mimi huwa si mteja wa TTCL, ila kuna location fulani fulani huwa nikienda natumia mtandao wao.

Leo kuna kifurushi cha internet cha bandika bandua saa 24 (@TSH. 1000/=) kiliandikwa GB 4.. Sasa nashangaa nimejiunga nikawasha data, nikadownload "Dream League Soccer 2020" (MB 316) nkapat ujumbe et nimebakiwa na MB 50. Je, hii maana yake nini?
Ukijiunga na bando la bandika bandua unapewa GB 4 ambazo utazitumia kwa mchanganuo ufuatao
Kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 1:59 usiku unapewa MB 500

Kuanzia saa 2 mpaka saa 11:59 unapewa GB 3.5

Ili bando linawafaa wale walioko bize mchana then usiku wanakua free coz kua nzia saa 2 kamili usiku mpaka saa 11 una enjoy GB.3.5 kwa buku


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ttcl Leo rasmi nimemwaga manyanga Nyumbani kumenichosha, Hii ni baada ya Ttcl kufuta vifurushi vyote vya 500 na 1000, na kupandisha bei ya 500 kwa kila Aina ya kifurushi chake.

Nimefanya tadhimini fupi na kugundua kuwa kutumia ttcl hakuna tofwauti na kutumia Tigo, Airtel nk.. Mf,
Tigo 3000=3Gb per week
Ttcl 3000=3Gb per week

Sasa nyumbani kumenoga kwa kipi...??? Netmbovu, customer care mbovu, vocha tabu then mnajiringanisha value na Tigo, voda, airtel n.k.

Mm ni mteja wa ttcl toka 2015 kipindi hicho kulikuwa kupiga ttcl to ttcl bure, Nimeona transition za ttcl karibu zote..
Mm nimoja ya watu waliwapigia kelele mjenge mnara wa kueleweka Dodoma nakumbuka mpaka mkasema nikusanye number nyingi za simu hili mtengeneze report na nilifanya hivyo nilikusanya about 20 phone number.

Leo nimejaribu kungalia msg za miahamala nilizofanya toka mwaka juzi duuh nikashtuka sana kwa kweli mumempoteza mteja potential..
Leo ttcl inafuta vifurushi vya bei ya wanyonge na kuweka vifurushi vya bei ya kwanzia alfu 5000=juu

Tadhimini nyingine fupi niliyofanya nimegundua kuwa yawezekana kabisa Ttcl hikawa inahujumiwa na mitandao mingine (private company) kwa maana kwamba wanatumia nguvu ya rushwa kufanya ttcl huwe mtandao mbovu wa ghari ya juu mpaka mteja aone akuna tofauti kati ya mtandao wa serkali na mashirika binafsi hivyo ushindani kati ttcl na mitando mingine unakuwa ziro.

Hembu tujiulize sote Ttcl ndio yenye mkongo wa taifa kwanini vifurushi vyake viwe bei juu sawasawa na company nyingine ambazo wamekodi mitambo kutoka ttcl. 🤔
 
Ttcl Leo rasmi nimemwaga manyanga Nyumbani kumenichosha, Hii ni baada ya Ttcl kufuta vifurushi vyote vya 500 na 1000, na kupandisha bei ya 500 kwa kila Aina ya kifurushi chake.
Nimefanya tadhimini fupi na kugundua kuwa kutumia ttcl hakuna tofwauti na kutumia Tigo, Airtel nk.. Mf,
Tigo 3000=3Gb per week
Ttcl 3000=3Gb per week
Sasa nyumbani kumenoga kwa kipi...??? Netmbovu, customer care mbovu, vocha tabu then mnajiringanisha value na Tigo, voda, airtel n.k...
Mm ni mteja wa ttcl toka 2015 kipindi hicho kulikuwa kupiga ttcl to ttcl bure, Nimeona transition za ttcl karibu zote..
Mm nimoja ya watu waliwapigia kelele mjenge mnara wa kueleweka Dodoma nakumbuka mpaka mkasema nikusanye number nyingi za simu hili mtengeneze report na nilifanya hivyo nilikusanya about 20 phone number...
Leo nimejaribu kungalia msg za miahamala nilizofanya toka mwaka juzi duuh nikashtuka sana kwa kweli mumempoteza mteja potential..
Leo ttcl inafuta vifurushi vya bei ya wanyonge na kuweka vifurushi vya bei ya kwanzia alfu 5000=juu,
Tadhimini nyingine fupi niliyofanya nimegundua kuwa yawezekana kabisa Ttcl hikawa inahujumiwa na mitandao mingine (private company) kwa maana kwamba wanatumia nguvu ya rushwa kufanya ttcl huwe mtandao mbovu wa ghari ya juu mpaka mteja aone akuna tofauti kati ya mtandao wa serkali na mashirika binafsi hivyo ushindani kati ttcl na mitando mingine unakuwa ziro. Hembu tujiulize sote Ttcl ndio yenye mkongo wa taifa kwanini vifurushi vyake viwe bei juu sawasawa na company nyingine ambazo wamekodi mitambo kutoka ttcl. [emoji848]
Acha kupotosha wewe ......mbona vifurushi vipo vile vile .....

*148*30#
Mbona tunapata vizuri tuu.....
IMG_20200330_202430.jpeg
IMG_20200330_202411.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vocha za TTCL wanatengeneza na madini gani?

Mbona kuzipata imekuwa taabu sana, yaani vocha kupatikana mtaani ni habari ya kushangaza.

Nyie TTCL kama kampuni mama ya mawasiliano nchini mnataka kufanya biashara au huduma? Nauliza kwa sababu hamuonekani katika biashara na katika huduma pia hampo.

Huduma zenu TTCL zinapatikana katikati ya miji kwa kiwango kizuri kidogo vipi huku mashambani au mtandao wenu ni kwa ajili ya watu wa mjini sisi wa mashambani tuendelee kutumia Buzz.

Kwanini TTCL msijitokeze nje ya ofisi mjitangaze watu wawajue nini mnafanya, naona kama mmejifungia ndani na promotion zikifanyika mitandaoni tu.

Ni mara chache sana mashirika ya umma kutoa huduma zenye kukidhi vigezo vya watumiaji kutokana na kubweteka ila najua mngekuwa na mikakati mizuri basi kila mtaa ungekuwa unaimba TTCL katika mtazamo chanya ila kelele za sasa ni malalamiko ya huduma, hii inadhihirisha kuwa bado hamna mikakati kabambe ya kuteka sekta ya mawasiliano nchini huwenda tuwape miaka mingi.

Kaka kila kampuni ya mawasiliano nchini na hata duniani wanahama na hawapo huko kwenye vocha za kukwangua wote wamehamia kwenye electronic vocha, ndio maana tumewawezesha wateja wetu muweze kununua kwa TPesa, mawakala wa CRDB, NMB, TPB , maxcom na Selcom, utaratibu wa vocha za kukwangua una madhara mengi kuliko faida.

Mabadiliko ya kuimarisha mashirika ya umma yanaendelea na ni kazi endelevu ikiwamo kuungwa mkono na wenye mali wewe ukiwa ni mmoja wao!!

Nimekopi huko facebook kwenye page yao
 
Mbao za Mawe njoo huku kuna kajamaa kaitwa alfatv wanaitetea kampuni yao ya TTCL wanasema ipo poa sana yaani imetulia.
Ina speed ya 15G kushinda kampuni yeypte hapa Afrika.
 
Acha kupotosha wewe ......mbona vifurushi vipo vile vile .....

*148*30#
Mbona tunapata vizuri tuu.....View attachment 1404240View attachment 1404241

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ndio umeona napotosha kwasababu mtandao huu umeaza kutumia juzi ujui tulipotoka na tulipo unachokiona hapo sicho kilichokuwepo kabla

Mm nalalamika kuhusu mabadiliko yasiyo na tija yasiyo shawishi mteja wazamani kuendelea kufurahia huduma mpya.

Hivyo vifurushi ulivyoscreen shot je ni vya ushindani? Je vinaweza kunishawishi niache kutumia tigo,\airtel yangu niamihe Ttcl? Embu jibu kama mzalendo
 
Ww ndio umeona napotosha kwasababu mtandao huu umeaza kutumia juzi ujui tulipotoka na tulipo unachokiona hapo sicho kilichokuwepo kabla, Mm nalalamika kuhusu mabadiliko yasiyo na tija yasiyo shawishi mteja wazamani kuendelea kufurahia huduma mpya... Hivyo vifurushi ulivyoscreen shot je ni vya ushindani? Je vinaweza kunishawishi niache kutumia tigo,\airtel yangu niamihe Ttcl? Embu jibu kama mzalendo
Akikujibu niTAG
 
Ww ndio umeona napotosha kwasababu mtandao huu umeaza kutumia juzi ujui tulipotoka na tulipo unachokiona hapo sicho kilichokuwepo kabla, Mm nalalamika kuhusu mabadiliko yasiyo na tija yasiyo shawishi mteja wazamani kuendelea kufurahia huduma mpya... Hivyo vifurushi ulivyoscreen shot je ni vya ushindani? Je vinaweza kunishawishi niache kutumia tigo,\airtel yangu niamihe Ttcl? Embu jibu kama mzalendo
Umesema hakuna kifurushi cha 500tsh ....sasa hiyo zamani na airtel au tigo ilikuwa bei gani sasa na hivi ....yaani still ttcl iko pouwa .....

Ukirudi na Fiber pia namtumia unlimited plus 50 mins talk time mitandao yote sasa wewe utaniconvice mimi vipi nihame ....
IMG_20200330_205520.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Benhorta ,Nimefanya tadhimini fupi na kugundua kuwa kutumia ttcl hakuna tofwauti na kutumia Tigo, Airtel nk.. Mf,
Tigo 3000=3Gb per week
Ttcl 3000=3Gb per week

Bado umedanganya pia .....
On a screenshot ya kifurushi cha week chagua wewe
Screenshot_20200330-210147.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema hakuna kifurushi cha 500tsh ....sasa hiyo zamani na airtel au tigo ilikuwa bei gani sasa na hivi ....yaani still ttcl iko pouwa .....

Ukirudi na Fiber pia namtumia unlimited plus 50 mins talk time mitandao yote sasa wewe utaniconvice mimi vipi nihame ....View attachment 1404271

Sent using Jamii Forums mobile app

Soma vizuri, Jibu hoja zangu straight usipinde pinde boss, Pia hiyo picha ya kifaa ulichoweka hapo sio hoja yangu, Si kila mtanzania anaweza kumiliki hicho,

Ninachozungumzia hapa ni normal cellural network, Usipindishe hoja za msingi.
 
Benhorta ,Nimefanya tadhimini fupi na kugundua kuwa kutumia ttcl hakuna tofwauti na kutumia Tigo, Airtel nk.. Mf,
Tigo 3000=3Gb per week
Ttcl 3000=3Gb per week

Bado umedanganya pia .....
On a screenshot ya kifurushi cha week chagua weweView attachment 1404285

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikisubiri umalize alafu nije na screenshots zangu, Zitakazo onyesha tulipotoka na tulipo Pia na washindani wetu walipo tuone Ttcl wanakipi kipya
 
Back
Top Bottom