Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Natumia TTCL laini mwaka sasa. Kero zangu ni hizi hapa:
1. Menu ya TTCL ya kuangalia salio la bando ni ya kidwanzi kuliko udwanzi wenyewe. Yaani unaingia menu, unabonyeza kuangalia salio, HAFU ETI ANATOKEA SUB MENU ANAKUULIZA SALIO LA SMS, DAKIKA, AU MB, unajifanya fala unabonyeza dakika, ANATOKEA TENA ANAKUULIZA DAKIKA ZA TTCL KWENDA TTCL AU KWENDA MITANDAO MINGINE??????? SERIOUS??????????
2. Vifurushi vya SMS wamevibana sana. Mfano Chat Kijanja ndio ninao jiunga eti Buku 1 unapata SMS 1000 kwa week. Hakuna vifurishi vya SMS unlimited. Igeni kwa wenzenu.
3. Internet ikifika usiku haina kasi kabisa. Yes tunajua ni peak hours kila mtu yupo Quarantine kwake anatumia ila kwenu too much inaelekea kuna kitu mnabinya.
4. TTCL anzisheni App ya T-Pesa.
Kama wameshataja wadau hayo sorry ila mengine wataongeza wakuu.
1. Menu ya TTCL ya kuangalia salio la bando ni ya kidwanzi kuliko udwanzi wenyewe. Yaani unaingia menu, unabonyeza kuangalia salio, HAFU ETI ANATOKEA SUB MENU ANAKUULIZA SALIO LA SMS, DAKIKA, AU MB, unajifanya fala unabonyeza dakika, ANATOKEA TENA ANAKUULIZA DAKIKA ZA TTCL KWENDA TTCL AU KWENDA MITANDAO MINGINE??????? SERIOUS??????????
2. Vifurushi vya SMS wamevibana sana. Mfano Chat Kijanja ndio ninao jiunga eti Buku 1 unapata SMS 1000 kwa week. Hakuna vifurishi vya SMS unlimited. Igeni kwa wenzenu.
3. Internet ikifika usiku haina kasi kabisa. Yes tunajua ni peak hours kila mtu yupo Quarantine kwake anatumia ila kwenu too much inaelekea kuna kitu mnabinya.
4. TTCL anzisheni App ya T-Pesa.
Kama wameshataja wadau hayo sorry ila mengine wataongeza wakuu.