Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
Mkuu mm mwenyw nimepewa tu tangazo ni post kwny mitandao mbalimbali.
Majibu ya maswali yenu wanayo managers wao hawapo humu,wapo twitter kwa trampo.
Kwaniaba.
Usihame tafadhali. Umepata tatizo lipi?Hawa jamaa bwana wana tamaa sasa nawaamini wajumbe, hamtoniangusha hawa ni kuwakata mchana kweupe
Nyumbani hakunogi tena, ngoja nitafute getto tu
SEMA wajumbe getto gani nzuri na Bei nafuu kwa uchumi huu wakati
Kifurushi changu pendwa cha toboa night hamnaUsihame tafadhali. Umepata tatizo lipi?
Jiunge na BANDIKA BANDUAKifurushi changu pendwa cha toboa night hamna
HalotelHawa jamaa bwana wana tamaa sasa nawaamini wajumbe, hamtoniangusha hawa ni kuwakata mchana kweupe
Nyumbani hakunogi tena, ngoja nitafute getto tu
SEMA wajumbe getto gani nzuri na Bei nafuu kwa uchumi huu wakati
Utaweza kuzimaliza?kwa siku moja mchana na usiku. hii nitasetia movies.
False adversting. Ukweli huu hapaHii imekaa poa sana ngoja nikanunue line ya TTCL
WanunulieHebu weka bundle la kukutosha ili ukirudi hewani tukikuuliza baadhi ya mambo usikimbie tena.
Hiii itakua ni kama kwenda bar halafu unamnunulia baamedi bia.Wanunulie
Kuwa mzalendo basiJapo mtandao unasumbua sana na speed isiyoridhisha tulivumilia hivohivo kwa sababu ya unafuu, ila kitendo cha kubadilisha vifurushi vya data bila maboresho yoyote ya huduma, acha tuhamie kwengine. bye bye titisielo.
Nimekuwa mzalendo kwa miaka 4 tangu 2016, TTCL kama main ISP kwa 95% ya matumizi yangu yote, ila wao wameamua kuwa mabeberu, wacha nitafute size yangu kwenye hili soko huria, line inakaa kando siku mkirekebesha tutarejea.Kuwa mzalendo basi
Acha maswali ya kifoo!Lini hiyo?
Nilidhani ni kwako tu, kumbe koteAcha maswali ya kifoo!
Hiki kifurushi mliweka kwa majaribio? Leo sikipatiBANDO TAM TAM inakupa Dk 5 mitandao yote, SMS 100 na GB 1 kwa siku 7.
Kujiunga na kifurushi hiki piga *150*71# kisha chagua 3 Nunua Vifurushi kisha chagua BANDO TAM TAM.
Rudi Nyumbani Kumenoga.