Mbavu mbili
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 1,457
- 874
It's Fun, lakini jamaa hawatufai kabisa.Katika kosa kubwa nililowahi kufanya maishani mwangu ni kumiliki line ya TTCL Corporation.
Sms mwisho ni character 150.
Sms unatuma leo, inafika kesho.
Network sio ya uhakika
Usikivu mbovu.
Narudi zangu Tigo Tanzania.
Tigo mnisamehe, shetani ni mbaya, alinidanganya eti RUDI NYUMBANI KUMENOGA, badala ya kunirudisha nyumbani, akanipeleka pangoni.
Bye bye shetani, kuanzia leo nakukataa wewe na hila zako za urubunifu eti RUDI NYUMBANI KUMENOGA, wakati kumechacha hadi kumechalala
Tatizo bado linaendelea?0736754242
Namimi ninasepa soonNmekwisha sepa TTCL
Ni suala la muda tutabadili tena.kampuni changa nyingine hawana hayo mambo leo wao ndio wanataka jifananisha na voda
Ni suala la muda tutabadili tenaWatajutia uamuzi wao. Ndani ya miezi mitatu kama hawatabadilisha hivi vifurushi vyao watabaki peke yao!
Ni suala la muda tutabadili tena.Kutoka 3GB kwa 2,500/- hadi 2.5GB kwa 3,500/=. Bei karibu mara mbili zaidi. Shikamooni TTCL!
Ni suala la muda tutabadili tena.Ttcl kwa hivi vifurushi kwakweli mnatufukuza kabisa
Yaani kwa mwezi nilikua napata GB 4 Ila sasa GB 2, mtapoteza wateja wengi kwa staili hiiView attachment 1525953
Una maana gani?Ni suala la muda tutabadili tena.
Vifurushi vitabadilishwa tena na kuwa kama hapo mwanzo.Una maana gani?
Sidhani mbona mitandao mingine hawajabadilishaVifurushi vitabadilishwa tena na kuwa kama hapo mwanzo.
Tigo hawakubadilisha?Sidhani mbona mitandao mingine hawajabadilisha