TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Katika kosa kubwa nililowahi kufanya maishani mwangu ni kumiliki line ya TTCL Corporation.
Sms mwisho ni character 150.
Sms unatuma leo, inafika kesho.
Network sio ya uhakika
Usikivu mbovu.
Narudi zangu Tigo Tanzania.
Tigo mnisamehe, shetani ni mbaya, alinidanganya eti RUDI NYUMBANI KUMENOGA, badala ya kunirudisha nyumbani, akanipeleka pangoni.
Bye bye shetani, kuanzia leo nakukataa wewe na hila zako za urubunifu eti RUDI NYUMBANI KUMENOGA, wakati kumechacha hadi kumechalala
It's Fun, lakini jamaa hawatufai kabisa.
 
Yaani nilidhani kuwa hilo ninaliona peke yangu


Mimi mwenyewe ninataka kuiweka line yao pending ... Yaani Taasisi ya serikali badala ya kuja na suluhisho la kuwasaidia wananchi Ajabu ndio kwanza wana wakandamiza ...
 
Spana zimekuwaa Konkiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ttcl kwa hivi vifurushi kwakweli mnatufukuza kabisa

Yaani kwa mwezi nilikua napata GB 4 Ila sasa GB 2, mtapoteza wateja wengi kwa staili hii
Screenshot_2020-08-03-15-16-50-1.jpg
 
Back
Top Bottom