TTCL Customer Care
Official Account
- Aug 18, 2016
- 279
- 317
- Thread starter
- #1,041
Asante kwa ushauri.Ahsante,lakini pia jitahidini kutangaza bidhaa zenu huku mitandaoni kama wenzenu wanavofanya,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ushauri.Ahsante,lakini pia jitahidini kutangaza bidhaa zenu huku mitandaoni kama wenzenu wanavofanya,
Pole sana, naomba unifahamishe unapata tatizo gani unapotumia huduma zetu.Mtandao wenu sio mzuri.
Natumia 10mb kwa siku!
Asante kwa ushauri wako.Naam,nyumbani kumenoga haswaa.Ila mjitahidi kwenye upande wa internet,kuna sehem zingine haisomi kabisa
Hakika nyumbani kumenoga.Acha nirudi nyumbani maana inaonekana kumeanza kunoga huko.
Asante kwa maoni yako, tunayafanyia kazi.Tunataka data tunataka data Tunataka data tunatakadata
Tunataka data tunataka data
Ndugu mteja, tunaomba kujua unapatikana sehemu gani?Internet yenu inapiga mzigo ukiwa chini ya mnara tu.
Asante kwa ushauri.
Pole sana kwa changamoto.Acha utani bhana uko mkoa gani maaana nimeunga bando la internet limeisha bila kutumia hata mb moja
Pole sana, ombi lako linafanyiwa kazi.Namtumbo huku Hadi nimeshangaa Ila Kama unashusha movie au documents kubwa bora ujiunge like toboa pack kwa buku unapata 3.5 GB kuanzia saa 2.
Pole sana ndugu mteja.Threads gani afisa habari wa idara ya serikali aliwahi kujibu kwa wakati maswali ya wadau?
Yaani bajeti yao inaisha pale anapotoa andiko tu, maswali yakielekea kupewa majibu mpaka aombe bajeti ipitiwe apewe ndipo aje ajibu [emoji40]!.
Huku kibaha mtandao wenu haushiki kabisa yaniPole sana ndugu mteja.
Una tatizo lolote unalopata pindi unapotumia huduma za TTCL?
Pole sana, ngoja tulifuatilie tatizo.Huku kibaha mtandao wenu haushiki kabisa yani
Ukiwa na laini ya 4G haisomi mtandao ukiweka ttcl, mpaka ushushe 2G ndio unasoma sijui tatizo ni niniKwanini mtandao wenu unasoma E maeneo mengi ya nchi?
Ndugu mteja, je una tatizo unalopata pindi unapotumia huduma za TTCL?
Ndugu mteja wetu tuna vifurushi mbalimbali venye bei nafuu kulingana na matumizi ya mteja,piga *148*30# kisha chagua kifurushi ukipendacho.Mbona boom pack mmetoa 12gb mpk 7gb kwa 10,000 na 5gb mpk 3.5gb kwa 5,000?
Ndugu mteja wetu tuna vifurushi mbalimbali venye bei nafuu kulingana na matumizi ya mteja,piga *148*30# kisha chagua kifurushi ukipendacho.Nilikuwa naitafuta Toboa hapa. Naona wamenitoboa, 2500 kwa GB 9 wakati hapo ningepata GB 20+, mmekula ya mwisho hiyo mkuu. Yaani mnabadilisha vifurushi kienyeji tu. Hata mimi nawahama!
Siwezi kukesha bure leo!
Pole kwa changamoto.Router yangu haikubali network 4G yenu tangu Alhamisi jioni hadi sasa,
Asante kwa kuchagua TTCL na karibu tena.Asante mkuu japo niliwapigia wakaniambia kweli tatizo lipo na wanalishughulikia kesho yake nikawapigia tena wakasema tatizo lishatatiwa nikawaambia kwangu bado, yaani line nikiiweka kwenye simu imai set katika 3G inakubali ila nikiiweka kwenye 4G /router inakataa!