Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,468
- 2,767
Boom pack, kifurushi cha data naona tayari kimepanda, kutoka 2500 GB 3 hadi 3500 2.5GB.
Ngoja turudi kwingine kama hali ndo hii
Ngoja turudi kwingine kama hali ndo hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana kwa tatizo.Ukiwa na laini ya 4G haisomi mtandao ukiweka ttcl, mpaka ushushe 2G ndio unasoma sijui tatizo ni nini
Karibu sana kwenye mtandao wa TTCL.Nimejiunga hicho kifurushi. Nimedownload documents kibao na bado bando halijaisha.
Kwaheri voda na Airtel
Naam huku ndiko niliko sijawahi kujuta kuwa Zantel.Zantel hawana promo ila wako vema sana.
Bonga mwezi 👇View attachment 1519070
Bonga 👇
View attachment 1519072
Bila kikomo👇
View attachment 1519068
Mzee hivo vifurushi vyote unavyosemea mmetoa kweny menu yenu hakuna hata kimoja kinachopatikana since last week tatizo ni nini?Karibu sana kwenye mtandao wa TTCL.
Rudi Nyumbani Kumenoga
Ndugu mteja wetu tuna vifurushi mbalimbali venye bei nafuu kulingana na matumizi ya mteja,piga *148*30# kisha chagua kifurushi ukipendacho.
Karibu sana
Sa hivi tumebakiwa na halotel unlimited kukesha......!!!!Nilikuwa naitafuta Toboa hapa. Naona wamenitoboa, 2500 kwa GB 9 wakati hapo ningepata GB 20+, mmekula ya mwisho hiyo mkuu. Yaani mnabadilisha vifurushi kienyeji tu. Hata mimi nawahama!
Siwezi kukesha bure leo!
Toboa tobo mmeiondoa hivyo tunahamia Halotel night offer unlimited usiku mzima nyie bakini na limtandao lenu.Ndugu mteja wetu tuna vifurushi mbalimbali venye bei nafuu kulingana na matumizi ya mteja,piga *148*30# kisha chagua kifurushi ukipendacho.
Karibu sana
Low speedPole sana, naomba unifahamishe unapata tatizo gani unapotumia huduma zetu.
Bundles za internet wanazo pia za KUTOSHA. Naipenda sana TTCLDakika Za nin weken bando la internet
Waboreshe hapo hapo kwenye bandoBundles za internet wanazo pia za KUTOSHA. Naipenda sana TTCL
Hawajui hawa sie tulikimbilia kule kwaajili ya Bandika,toboa na boom pack .Jibu maswali kwa nini mmetoe vifurushi husika? Kama liko nje ya uwezo wako sema acha kuzunguka zunguka!
Pole sana kwa tatizo.Low speed