TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Muhimu kwa Watumishi wote.

Endelea kufurahia huduma zetu.

Piga *148*30# kisha chagua ofa maalum.

#RudiNyumbaniKumenoga.

 
Kwa nn mmepandisha mambando yenu hvyo ya internet hamjui kwamba watu tunawahama maana tulikuwa tunatumia ttcl kwa ajili ya internet tu. Huo utafiti wenu mliofanya mkapandisha mabando ni wa uongo sana
 
Hongereni kwa wazo hilo ila kwa ushauri wangu badala ya elfu kumi fanyeni elfu tano.
Mtapata volume kubwa otherwise.
 
Mzee hivo vifurushi vyote unavyosemea mmetoa kweny menu yenu hakuna hata kimoja kinachopatikana since last week tatizo ni nini?
Ndugu mteja,
Mabadiliko ya vifurushi hufanyika ili kuendana na mabadiliko ya kibiashara.
 
Bundles za internet wanazo pia za KUTOSHA. Naipenda sana TTCL
Makalio ya Fisi TTCL nilijiunga nao kwa internet kwa siku 3 wamechukuwa 30,000 nimekwenda ofisini kwao hata kuelezea hawajui mbuzi mchuzi hao.

Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Makalio ya Fisi TTCL nilijiunga nao kwa internet kwa siku 3 wamechukuwa 30,000 nimekwenda ofisini kwao hata kuelezea hawajui mbuzi mchuzi hao.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Pole kwa tatizo, tunaomba utupatie namb yako kwa msaada zaidi.
 
Baada ya maboresho ya vifurushi ni changamoto ipi unayopata?
KUMBUKA

[emoji654][emoji654]Je, una ushauri wowote baada ya kuona mabadiliko ya vifurushi?

[emoji654][emoji654]Je, una tatizo la kushindwa kutuma SMS au calls?


Karibu nikuhudumie


Rudi Nyumbani Kumenoga
 
Rudisheni Night Pack bundle, boom pack data mmeongeza gharama zaidi kuliko hata washindani wenu. Nilirudi nyumbani lkn sasa sijihisi kuwa nyumbani tena.

Nawatabiria anguko maana mmeamua kulihujumu shirika lenu wenyewe.
 
Pole kwa tatizo, tunaomba utupatie namb yako kwa msaada zaidi.
Ilikuwa sio internet ya simu ni router ya nyumbani na simu yangu ya nini wakati nilikuja makao makuu ya ofisi yenu mkanizingua tu na majibu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Rudisheni Night Pack bundle, boom pack data mmeongeza gharama zaidi kuliko hata washindani wenu. Nilirudi nyumbani lkn sasa sijihisi kuwa nyumbani tena. Nawatabiria anguko maana mmeamua kulihujumu shirika lenu wenyewe.
Seen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…