TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)


zantel internet kwa week wana options zipi. nimetoa ttcl natafuta pa kuhamia.
 
Threads gani afisa habari wa idara ya serikali aliwahi kujibu kwa wakati maswali ya wadau?

Yaani bajeti yao inaisha pale anapotoa andiko tu, maswali yakielekea kupewa majibu mpaka aombe bajeti ipitiwe apewe ndipo aje ajibu [emoji40]!.
Mbona amejibu
 
Ilikuwa sio internet ya simu ni router ya nyumbani na simu yangu ya nini wakati nilikuja makao makuu ya ofisi yenu mkanizingua tu na majibu.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Tulia basi uhudumiwe, mbona unaleta fujo kama kibaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…