Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 717
- 666
Rudishen bando la mwezi la elfu 5 Gb4, sms na call mitandao yote na ttcl -ttcl
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's trueTTCL Customer Care ya kweli hayaaa
SeenRudishen bando la mwezi la elfu 5 Gb4, sms na call mitandao yote na ttcl -ttcl
Naam huku ndiko niliko sijawahi kujuta kuwa Zantel.
Plus MB zao unatumia kwa kujimwaga yani unagalagala Insta, Facebook, JF na Youtube bila kuhofia kuishiwa MB kabisa maana ni 1GB ya kikweli, sio zile 600MB zinazopewa TAG ya 1GB na mitandao mingine ya kijambazi! Unashangaa GB haimalizi lisaa ishakata 😂😂😂
Umeangalia setting za intaneti?Iringa
Geita kata ya kasemePole sana kwa tatizo.
Unapatikana wapi?
1GB kwa 1000! Sio week ni Unlimited!zantel internet kwa week wana options zipi. nimetoa ttcl natafuta pa kuhamia.
Settings zilikuwa sawa zote. Nilivyoona chenga chenga, nikapiga chini line yao.Umeangalia setting za intaneti?
[emoji51]Settings zilikuwa sawa zote. Nilivyoona chenga chenga, nikapiga chini line yao.
Mbona amejibuThreads gani afisa habari wa idara ya serikali aliwahi kujibu kwa wakati maswali ya wadau?
Yaani bajeti yao inaisha pale anapotoa andiko tu, maswali yakielekea kupewa majibu mpaka aombe bajeti ipitiwe apewe ndipo aje ajibu [emoji40]!.
Tulia basi uhudumiwe, mbona unaleta fujo kama kibakaIlikuwa sio internet ya simu ni router ya nyumbani na simu yangu ya nini wakati nilikuja makao makuu ya ofisi yenu mkanizingua tu na majibu.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Namba yako ya TTCL tafadhaliSettings zilikuwa sawa zote. Nilivyoona chenga chenga, nikapiga chini line yao.
Hahah kumbe 80%/20% rule is real mkuu...Lakini wana 20% ya smartphones[emoji6]
TuwavumieHahaa umeanza
Sipunguzi
Lazma akimbieThat's true
[emoji23][emoji23] Vd power to youN
Naondoka Tena,vifurushi vyote mmebadilisha.
Nipo kwanza voda hapa
Tuwavumilie !!? Hauko serious shirika limeanza ku- operate tangu mwaka 1993 hadi Leo hii linakaribia kufikisha miaka 30 but still ndio kwanza kama lina miaka Mitatu au miwili Tangu lianzishwe liko very poor " huduma za hovyo+Tuwavumie