Ni sawa na TLP kwa CCM.Ili iweje ?, wamekuja wenyewe na marketing kwamba wanazidi kuvuta wateja..., sasa hata kama kwenye marketing promo yao kuna mwanvuli wa competitor wao huoni kwamba either wana uwalakini au to say the least bado wana safari ndefu sana....., Yaani wamekosa hata mwanvuli wa kuzugia kupiga picha ?
Mimi mwenyewe nawashangaa.Ili iweje ?, wamekuja wenyewe na marketing kwamba wanazidi kuvuta wateja..., sasa hata kama kwenye marketing promo yao kuna mwanvuli wa competitor wao huoni kwamba either wana uwalakini au to say the least bado wana safari ndefu sana....., Yaani wamekosa hata mwanvuli wa kuzugia kupiga picha ?
Lini hujajibiwa?Mmepandisha gharama za vifurushi! Customer care yenu sio nzuri, hamtoi majibu kwa wateja
Pole sana mjumbe, tuwape muda huenda mambo yatakaa sawa tu ili tuwahame mabeberu.Hivi wafanyakazi wa TTCL huwa wanalipwa??
Make customer care mbovu, unaweza piga simu saa zima bila kupokelewa,... ubunifu zero, T-Pesa mizinguo balaaa.
Mkuu nilipiga simu huduma kwa wateja yule aliyekuwa ananihudumia hakuweza kunijibu swali langu na mwishowe akakata simu kabla hatujamalizana akakata simuLini hujajibiwa?
[emoji106]Mabeberu ndio hawa wanaofadhili ligi ya mpira nchini ?, Basi sisi wazalendo angalau tufadhili hata draft, ikishidikana sana basi hata karata...
Mbuzi jike ni wakina nani?Pole sana mjumbe, tuwape muda huenda mambo yatakaa sawa tu ili tuwahame mabeberu.
Rudi Nyumbani Kumenoga
We mzee wa mikapu,kesho mletee wife wangu bonge bonge Samaki aina ya chatoMimi mwenyewe nawashangaa.
Kila saa mnaanzisha Uzi mpya!Baada ya maboresho mazuri ya vifurushi nafuu kutoka TTCL.
Sasa tunaendelea kuvuna wateja wapya kutoka kwenye pande zote za Tanzania.
Hakika nyumbani kumenoga.
#RudiNyumbaniKumenoga
Nitafuteni niwape wazo bomba la biashara ambalo hata vodacom hawanaBaada ya maboresho mazuri ya vifurushi nafuu kutoka TTCL.
Sasa tunaendelea kuvuna wateja wapya kutoka kwenye pande zote za Tanzania.
Hakika nyumbani kumenoga.
#RudiNyumbaniKumenoga
Nitafuteni niwape wazo bomba la biashara ambalo hata vodacom hawana
NakaziaNakushauri; hiyo business plan ulonayo omba appointment kuonana na CEO na bainisha wazi DHIMA yako.
Utapata nafasi ya kufanya presentation, wazo lako likionekana ni productive am sure utapata nafasi na kuwa sehemu ya utekelezaji wake.
Na hii ndo njia ambayo wengi hujipatia ajira, kwa jina lingine unaweza kuiita "BUSINESS and MARKETING INTELLIGENCE" wengi hawajui ila waajiri wengi siku hizi wanatafuta watu wa CALIBRE hii wenye CONSTRUCTIVE IDEAS.
Chukua ushauri wangu na utakuja kunishukuru siku moja.
All the best
We mzee wa mikapu,kesho mletee wife wangu bonge bonge Samaki aina ya chato
Lini umekatwa mkuu?Tangia mnikate hela yangu kwenye t-pesa..bila ridhaa yangu Sina haja Tena na kampuni yenu..laini nliitupa siku ile ile