TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Ili iweje ?, wamekuja wenyewe na marketing kwamba wanazidi kuvuta wateja..., sasa hata kama kwenye marketing promo yao kuna mwanvuli wa competitor wao huoni kwamba either wana uwalakini au to say the least bado wana safari ndefu sana....., Yaani wamekosa hata mwanvuli wa kuzugia kupiga picha ?
Ni sawa na TLP kwa CCM.
 
Ili iweje ?, wamekuja wenyewe na marketing kwamba wanazidi kuvuta wateja..., sasa hata kama kwenye marketing promo yao kuna mwanvuli wa competitor wao huoni kwamba either wana uwalakini au to say the least bado wana safari ndefu sana....., Yaani wamekosa hata mwanvuli wa kuzugia kupiga picha ?
Mimi mwenyewe nawashangaa.
 
Hivi wafanyakazi wa TTCL huwa wanalipwa??

Make customer care mbovu, unaweza piga simu saa zima bila kupokelewa,... ubunifu zero, T-Pesa mizinguo balaaa.
Pole sana mjumbe, tuwape muda huenda mambo yatakaa sawa tu ili tuwahame mabeberu.

Rudi Nyumbani Kumenoga
 
Tangia mnikate hela yangu kwenye t-pesa..bila ridhaa yangu Sina haja Tena na kampuni yenu..laini nliitupa siku ile ile
 
Nitafuteni niwape wazo bomba la biashara ambalo hata vodacom hawana

Nakushauri; hiyo business plan ulonayo omba appointment kuonana na CEO na bainisha wazi DHIMA yako.

Utapata nafasi ya kufanya presentation, wazo lako likionekana ni productive am sure utapata nafasi na kuwa sehemu ya utekelezaji wake.

Na hii ndo njia ambayo wengi hujipatia ajira, kwa jina lingine unaweza kuiita "BUSINESS and MARKETING INTELLIGENCE" wengi hawajui ila waajiri wengi siku hizi wanatafuta watu wa CALIBRE hii wenye CONSTRUCTIVE IDEAS.

Chukua ushauri wangu na utakuja kunishukuru siku moja.

All the best
 
Nakushauri; hiyo business plan ulonayo omba appointment kuonana na CEO na bainisha wazi DHIMA yako.

Utapata nafasi ya kufanya presentation, wazo lako likionekana ni productive am sure utapata nafasi na kuwa sehemu ya utekelezaji wake.

Na hii ndo njia ambayo wengi hujipatia ajira, kwa jina lingine unaweza kuiita "BUSINESS and MARKETING INTELLIGENCE" wengi hawajui ila waajiri wengi siku hizi wanatafuta watu wa CALIBRE hii wenye CONSTRUCTIVE IDEAS.

Chukua ushauri wangu na utakuja kunishukuru siku moja.

All the best
Nakazia
 
Back
Top Bottom