Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Sawa mkuuNitakutafuta kesho
Tutasusa soon.Mnapandisha vifurushi wakat internet yenu ya kiduanzi
Simu yangu ya mezani hizi mpya...nikipiga inasema namba haipo...nikipiga huduma kwa wateja wanasema imefungiwa...naomba nisaidie aseeTutasusa soon.
Punguza jazba
Pole sana mkuu, unapatikana wapi?Simu yangu ya mezani hizi mpya...nikipiga inasema namba haipo...nikipiga huduma kwa wateja wanasema imefungiwa...naomba nisaidie asee
Pole sana mkuu, unapatikana wapi?
Mkuu, najaribu sana kuwasaidia wadau ili wapate wanachokitaka, mfano mtu analalamika katuma hela lakini haijafika hivyo mimi najaribu kuwasiliana na kule Makao Makuu ya TTCL na TTCL Customer Care lakini wao ndio wananiangusha mpaka muda mwingine nataka tamaa.Jamaa unajitahidi sana kujibu wadau lakini hauna suluhisho, log in kwa ID ya kampuni ili kuleta uzito wa hoja zako.
Copyright ya mwaka gani?Ila TTCL mnatia aibu, ukifungua website yenu haifit kwenye page. Mnakuwa kama hamna IT aisee
Mkuu, najaribu sana kuwasaidia wadau ili wapate wanachokitaka, mfano mtu analalamika katuma hela lakini haijafika hivyo mimi najaribu kuwasiliana na kule Makao Makuu ya TTCL na TTCL Customer Care lakini wao ndio wananiangusha mpaka muda mwingine nataka tamaa.
Naona ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
Unataka nigunguliwe mashtaka sio?Nakuelewa vizuri mkuu, wala usijaribu kunipotosha katika hili... nasemajeeee log in kwa ID ya kampuni tujue moja.
Huyo TTCL Customer Care ni hovyo tu, wanapoteza wateja na kila siku wanalalamikiwa na hawajali... mishahara si ipo tu!!
Unataka nifunguliwe mashtaka sio?
Naogopa kitu kinachomilikiwa na serikali.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Ni suala la muda tu.TTCL ni janga!
Nipo Goba Mkuu.Pole sana mkuu, unapatikana wapi?
Ngoja niwasiliane na viongozi then nitakupa mrejesho.Nipo Goba Mkuu.