TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Jamaa unajitahidi sana kujibu wadau lakini hauna suluhisho, log in kwa ID ya kampuni ili kuleta uzito wa hoja zako.
Mkuu, najaribu sana kuwasaidia wadau ili wapate wanachokitaka, mfano mtu analalamika katuma hela lakini haijafika hivyo mimi najaribu kuwasiliana na kule Makao Makuu ya TTCL na TTCL Customer Care lakini wao ndio wananiangusha mpaka muda mwingine nataka tamaa.
Naona ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
 
Ila TTCL mnatia aibu, ukifungua website yenu haifit kwenye page. Mnakuwa kama hamna IT aisee
Copyright ya mwaka gani?
Wameshindwa hata kuUPDATE.
Screenshot_20200806-130917.jpg
 
Mkuu, najaribu sana kuwasaidia wadau ili wapate wanachokitaka, mfano mtu analalamika katuma hela lakini haijafika hivyo mimi najaribu kuwasiliana na kule Makao Makuu ya TTCL na TTCL Customer Care lakini wao ndio wananiangusha mpaka muda mwingine nataka tamaa.
Naona ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.

Nakuelewa vizuri mkuu, wala usijaribu kunipotosha katika hili... nasemajeeee log in kwa ID ya kampuni tujue moja.

Huyo TTCL Customer Care ni hovyo tu, wanapoteza wateja na kila siku wanalalamikiwa na hawajali... mishahara si ipo tu!!
 
Ongeza salio kwa urahisi zaidi kupitia Mawakala wetu ili uweze kufurahia huduma zetu.
# RudiNyumbaniKumenoga .
88125753_625638238169399_7987400476222029824_n.jpg
88162031_625638308169392_4855848879070904320_n.jpg
87594956_625638428169380_5605316742327828480_n.jpg
88058867_625638678169355_6902361432239636480_n.jpg
86934766_10158274271947884_5454120454555959296_o.jpg
 
TTCL msipofanikiwa kujenga misingi madhubuti na kuwa a giant leading company kipindi hiki Cha JPM kifo kifuatacho hamtafufuka kamwe! Tumieni hii chance alowapa mzee!
 
Back
Top Bottom