Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ya kuondolewa kwa vifurushi vya TOBOA NIGHT na BANDO TAMTAM ni kuwa hivo vifurushi vimewaingizia hasara kubwa.Hampo serious nyie watu....sijui mnachukua ushauri kutoka wapi yaan ata kifurush cha toboa night mmekiondoa,mkaona tunafaiiiidiiiii ny*u nyiee
Sasa kuna biashara ya upande mmoja tu....hasara na faida ni kama masikio Kwenye kichwaSababu ya kuondolewa kwa vifurushi vya TOBOA NIGHT na BANDO TAMTAM ni kuwa hivo vifurushi vimewaingizia hasara kubwa.
Wamefika retiring age? Tatizo ni umri au utendaji...., kuna jambo ambalo mzee atakuwa nalo ambalo kijana hawezi (nalo ni experience)..., Kwahio tupende kuangalia tatizo ni nini?, sio kutafutia sababu tatizo na kuleta justification ambazo kwakweli ni illogicalShirika limeajiri vizee sijui mnakwama wapi mpaka mnapitwa na kampuni binafsi?
Naona unatetea ugali mzee keep it up.Unataka wakuajiri wewe?
Msianze kutafuta mchawi hapa hili ni shirika la umma mnapaswa kuwa wabunifu kwa kutoa huduma za uhakika ili kuwavutia watu wengi.Wamefika retiring age? Tatizo ni umri au utendaji...., kuna jambo ambalo mzee atakuwa nalo ambalo kijana hawezi (nalo ni experience)..., Kwahio tupende kuangalia tatizo ni nini?, sio kutafutia sababu tatizo na kuleta justification ambazo kwakweli ni illogical
Nakifatilia muda sana huwa unawatetea mm najua ni sehemu ya staff ya TTCL.Mkuu, hivi unaamini mimi ni mfanyakazi wa TTCL?
Wewe ndio unatafuta mchawi kwa kusema wanaajiri wazee, mimi sipo hio Kampuni kwahio ndio ninakuuliza wazee (nadhani hawajafikia retiring age ndio maana wapo hapo) kwa kuwafukuza hawa ndio kampuni itapata ufanisi ?, nimekupa faida moja ya wazee ya experience ambayo haina shortcut zaidi ya muda kwenye tasnia husika...Msianze kutafuta mchawi hapa hili ni shirika la umma mnapaswa kuwa wabunifu kwa kutoa huduma za uhakika ili kuwavutia watu wengi.
Ttcl tunaipenda lakini kuna shida kubwa ya mtandao hapa Arusha eneo la Olasiti signal ziko chini sana.Shirika limeajiri vizee sijui mnakwama wapi mpaka mnapitwa na kampuni binafsi?
Hakika,Nakifatilia muda sana huwa unawatetea mm najua ni sehemu ya staff ya TTCL.
Hili n shirika kongwe walipaswa kutoa huduma bora kuliko kampuni yoyote ya mawasiliano.
Rais pekee ndiye anayeweza kumfuta kazi, but not you.Hakika,
Najiuliza hili shirika na wafanya kazi wake hasa management huwa wanahudhuria vikao na wenzake?
Au wapo kwa ajili ya kula tu?
Maana shirika limedumaa,lina utapia mlo hatari, viongozi wapo tu.
Matokeo yake mitandao mingine tena kutoka nje wana operate na kukata pesa (vifurushi) za watumiaji wanavyotaka.
Mkurugenzi ondoka hutufai kutuongoza kwenye shirika hilo.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app