TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Unaweza tumia MB 3 tu kati ya hiyo GB1.2 kwasababu ya speed. Nilivunja vunja simcard yao
 
Bila mawakala wa TTCL PESA na kuchapisha vocha za vikaratasi

Bado sijaona mnachokifanya Apo ofsini.

Mmezidiwa na halotel,
Wamekuja juzi TU Ila mawakala Kila Kona, vocha zao zinapatikana kwa urahisi.

Kiukweli tunatamani tuwe wazalendo,
Ila mnatuangusha Sana.
 
Lipo siku zote ila bei ni 2500,day gb1,night gb9 kwnye bandika bandua sjui,vufurushi vyao majina sjui ya wapi haya
Ila makampun ya kibongo bana, sasa ukinipa GB9 usiku muda ambao natakiwa kulala si ni utapeli tu? Yani mchana ambako ndio nina uhuru wa kutumia bundle unanipa GB1 ila usiku nikilala unanipa 9GB so stupid.
 
Vifurushi vilivyozinduliwa ni


1.SIKU (MASAA 24)
Dakika 5(mitandao yote) SMS 30 na MB 600 kwa Tsh 500



2. SIKU 5
Dakika 10(Mitandao yote) SMS 50 na GB 1.2 kwa Tsh 1000




3.MWEZI (SIKU 30)
Dakika 20(mitandao yote), SMS 300 na GB 2.2 kwa Tsh 5000.




Kumbuka vifurushi hivi vinapatikana kwenye huduma ya T PESA.

#RudiNyumbaniKumenoga
















View attachment 1650949View attachment 1650951View attachment 1650950
130777776_10159213982962884_6129761049792593266_n.jpg

Image may contain: text that says 'simu ya mkononi O T-PESA BANDO Tam TAM PLUS PACKAGE Muda Data Kwa siku Dakika mitandao ote SMS Siku5 Bei (Tsh) 600MB 1.2GB 5 30 Mwezi 10 2.2GB 500 50 20 1,000 300 5,000 KNGG *150*71# Chagua namba 3 Kisha namba 2 Nafuu na Salama Kwa maelezo zaidi piga 100 au 0222 100 100 au Tembelea www.ttcl.co.tz t-pesa tanzania'


Image may contain: 3 people, people standing and indoor




Image may contain: 3 people
 
Je Yaliyomo yamo?

Tatizo sio vifurushi tatizo kasi ya konokono.

Unaweza ukakuta hiyo 2GB huimalizi mpaka inaexpire.
Mtandao wao ni wa kiboya ssna, nishawapigia sana simu story ni zilezile nategemea kunako uhai mwaka kesho January nihamie Halotel
 
Back
Top Bottom