Hiyo kitu nadhani mngeibadilisha maana kwa haraka haraka ikitamkwa inapelekea mawazo ya mteja kwenda tigo pesa,Kumbuka vifurushi hivi vinapatikana kwenye huduma ya T PESA.
Unapata tatizo gani unapotumia huduma za TTCL?Mtandao wao ni wa kiboya ssna, nishawapigia sana simu story ni zilezile nategemea kunako uhai mwaka kesho January nihamie Halotel
L PESAHiyo kitu nadhani mngeibadilisha maana kwa haraka haraka ikitamkwa inapelekea mawazo ya mteja kwenda tigo pesa,
Semeni hata TL PESA.
Shida yangu ni kwenye downtime handlingTTCL kisomi zaidi.
Mwanachuo,anza wiki kwa kujiunga na Boom Pack,kifurushi nafuu kabisa chenye GB za kutosha. Ukiwa na Boom Pack, ni kicheko mwanzo mwisho!View attachment 1569434
Unapatikana sehemu gani mkuu?Rekebisheni mtandao wa internet, mtu uko Dar mtandao kimeo,
Hapo kwenye mwezi wamefeli.mkuu nipe uzoefu wako
Kwanza mawakala wanao? Maana isijekuwa ukitaka kujaza salio unaambiwa fika ofisiniHiyo kitu nadhani mngeibadilisha maana kwa haraka haraka ikitamkwa inapelekea mawazo ya mteja kwenda tigo pesa,
Semeni hata TL PESA.
Pole sana mkuu.Hovyo sana..nimetafuta vocha zenu kimara nzima hakuna.
Mawakala wapo nyomi.Kwanza mawakala wanao? Maana isijekuwa ukitaka kujaza salio unaambiwa fika ofisini
Tupo hapa tunakusililiza mkuu.TTCL tunataka sana kuwasapoti lakini bado mmeshindwa kuweka vifurushi rafiki.
#RudiNyumbaniKumenogaMarehemu watarajiwa nyie. Bila msaada wa "VAR" ya rais kulazimisha watendaji na ofisi za serikali kuwatumia TTCL mlikuwa "MAHUTUTI ICU".