TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Mlikuja vizuri ila mahali mkaharibu kisa mnataka mapato sawa na mitandao mingine
Mi nilitafakari sana nikaishia kuwaza kuwa wameuza mechi technically ili kampuni binafsi wafanye biashara pia.

Baada ya maafisa wa umma kuanza kutumia TTCL nilijua Tpesa nayo itabamba. Nilivyoangalia tariff zao, nikajisemea kimoyomoyo kuwa hawa wachezaji wamebet timu mwenyeji apoteze!
 
Kwa mara ya kwanza ttcl kuwasha mtandao wao Malampaka Simiyu ni septemba 2019. Nilifurahi maana nilikuwa nikirudi likizo nyumbani haisomi.
 
Hiv zipogo simu za mezani ambazo zinatumia laini ya kawaida na kutumia cellular network? Yaani simu iwe ya mezani lakini inatumia cellular network, zipo?

Lengo: iwe tu inakaa nyumbani fixed kwaajili ya kupokea calls na isichukuliwe na madogo wakasepa nayo mitaani.
 

Nikihitaji fiber Kwa matumizi ya nyumbani gharama za mwezi zikoje? Mna unlimited package?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…