James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Na mimi mzalendo pia.Mimi mzalendo kaka, hizo ni changamoto tu ambapo zinafanyiwa kazi na wahusika.
TTCL wapo vizuri hasa nikitumia intaneti mchana lakini usiku inasumbuaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi mzalendo pia.Mimi mzalendo kaka, hizo ni changamoto tu ambapo zinafanyiwa kazi na wahusika.
Wewe unalipwa bei gani kuitetea TTCL?
Naunga mkono hojaSeems umetumwa aisee na hauna uzalendo ndani yako ,TTCL Ni mtandao wa kitanzania na unaendeshwa na watanzania wenyewe badala uwe wa kwanza kuitetea wewe mtanzania mwenzetu ndio unakua wa kwanza kuichafua, tupende vya kwetu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Baharia wa Buza unachuki mbona vifurish vipoi vyenye MB za kutosha,Mkuu sina chuki
Lakini jaribu kujiuliza hizo dakika 100 zote za nini?
Why msiongeze MBs maana siku hizi hatabbaadhi wa watu wanawasiliana kwa kupigiana simu kupitia WhatsApp
Wadau mimi niko tabora ndo mtandao wangu huku nzega mitandao mingine shida ila TTCL ni baba lao naona wote mnaopinga ni upotoshaji mkumnwa voucher zinapatikana na unaweza kununua kupitia mitandao mingine kama vida pesaHuo Mtandao Ni Jijini Tu
Huko Vijijini Shida
Hoja ya uzalendo ni dhaifu, Kuwa mzalendo akunifanyi ni kae kimya, nishinde hata kutoa maoni yangu kisa uzalendoSeems umetumwa aisee na hauna uzalendo ndani yako ,TTCL Ni mtandao wa kitanzania na unaendeshwa na watanzania wenyewe badala uwe wa kwanza kuitetea wewe mtanzania mwenzetu ndio unakua wa kwanza kuichafua, tupende vya kwetu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana mkuu...mimi mwenyew nilikua na wasi wasi kama itashika ila baada ya kufika ndo natumia.kuperuzi apa bila shida tena kwa 3GMmh
Bila shaka wewe utakuwa ndio costumer care wa TTCL
Watumiaji wake ndo wataisoma namba
[/QUOT
Sio siri ngoja niende kwenya mada moja kwa moja.
Huu mtandao una matatizo mengi sana kama yafuatayo:
1. Huduma ya T PESA
Aisee huu mtandao kama utatuma hela siku ya Ijumaa usiku ghafla litokee tatizo wallah utakuja kuhudumiwa siku ya Jumatatu.
Hili tatuzo limenipata juzi hapa Ijumaa tarehe 7 yaani nilitamani kulia wallah.
2. Vifurushi
Hawa majamaa ukitaka uende nao sawa kwenye masuala ya MBs nakushauri tafuta kitambulisho cha chuo.
Aisee yaani GB 5 kwa Tsh 5000 mwezi mzima.
3. Vocha
Asikwambie mtu, TTCL hawana vocha aisee. Jana nimeenda pale Makao Makuu niliulizia vocha ya 500 hakuna wanasema zipo za 1,000.
Aisee ukienda kuulizia madukani yaani muuzaji anaweza akashangaa maana hiyo vocha ya TTCL ndiyo kwanza anaisikia kwako.
Kilichonipata jana
Nilijiapiza nikaonane na Afisa Masoko pale Makao Makuu pale Posta ili nimshauri kitu kimoja tu. Yaani nikafika mapokezi nikaonane na bwana Kindamba lakini nikazuiliwa.
Yule mama wa mapokezi aliongea sana mpaka wakati naondoka nimeinamishwa kichwa chini kwa masikitiko. Maana shida yangu nilitaka kuonana na Afisa Masoko au CEO wao.
Nilitaka niwambie kama vocha mtaani ni ngumu basi katika option ya kununua bando mteja achague alipe upitia T PESA au salio la kawaida.
Kama upo Dar nenda POSTA pale makao makuu lazima hela irudi
Hawa majamaa ni wahuni sana hawa yaani nimejiunga GB 10 ili nipakue vitu vangu chaajabu network ipo slow kama kinyonga.
Kesho asubuhi alfajiri na mapema naivunjavunja laini yao kwa meno yangu.
Uzi tayari.
TTCL
Punguza jazba mkuu wasije wakakusikia
Niliona iko slow nikahisi labda ni huku eneo niliopo nimerudi zangu tigoSiku mbili tatu hizi 4G ya ttcl imegeuka kuwa 2G ya airtel. Very slow! Video ya dakika 5 youtube unaiangalia lisaa limojana nusu na bado huimalizi
Sent using Soviet T-72 Main Battle Tank
Mkuu umerudi tena kutumia TIGO?Niliona iko slow nikahisi labda ni huku eneo niliopo nimerudi zangu tigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ndio tigo ipo fastaMkuu umerudi tena kutumia TIGO?
Kweli mkuu una moyo sana aisee
Hongera sana mkuuHahaha ndio tigo ipo fasta