TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Pole kwa changamoto hiyo,tafadhali tufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Napatikana maeneo ya sinza na zaidi huwa natumia bando la toboa (10gb per night). Huwa najikuta natumia gb chache wakati nikiwa maeneo kama kinondoni linaisha ndani ya masaa mawili tu
 
Kuna siku walitaka kuniibia ttcl niliweka vocha ya 500 ikakubali fresh nilipotaka kujiunga kifurushi cha siku unapata dk 10 ,na mb500 na sms 100 ikagoma nikarudia tena kujiunga ikagoma nikaangalia salia nikaona 494 wamenikata ,wakati sina deni lolote nikawaendea hewani huduma lwa wateja akapokea mdada nikamweleza shida yangu ,akaniambia subiri niangalie huku heee baada ya dktatu hivi akaniambia nimekurudishia dk 6 yako cha ajabu walirudisha kwa namba ya kawaida tunzazotumia huko mtaaani kusachi keenye tpesa yao nakuta jina la mdada acheni kuibia wateja ttcl hivi akikusanya sh 6 mara watu 1000
 
Mimi niko nyumbani muda mrefu, boresheni miundombinu ya mawasiliano yenu ifike kila mahali ya jiji la Dar.
 
Mna speed mbovu ya internet mnashindwa hata na makampuni ya kigeni
 
Mnaboa, nwdays mmekua wezi... Nimejiunga Bundle ya 10,000 imekaa wiki 1 tu sometimes hata wiki haifiki ni 4- 5days nikijiunga ya elfu 5 pia haikai... Sidownload Movies wala Apps, Wezi sana nyie wakati zamani my Bundle used to last 1 month. Naitupa line yenu soon.
 
Mnaboa, nwdays mmekua wezi... Nimejiunga Bundle ya 10,000 imekaa wiki 1 tu sometimes hata wiki haifiki ni 4- 5days nikijiunga ya elfu 5 pia haikai... Sidownload Movies wala Apps, Wezi sana nyie wakati zamani my Bundle used to last 1 month. Naitupa line yenu soon.
Pole sana kwa changamoto hiyo.
Tafadhali tutumie namba yako PM kwa msaada zaidi.

Rudi Nyumbani Kumenoga
 
CORPORATION Inakupa
1. Gb 4 kwa sh. 1000 tu masaa 24 ( Vigezo na masharti kuzingatiwa)
Menu ... Piga *148*30# chagua No. 5 TTCL BUNDLE THEN BANDIKA BANDUA.

2. Gb 10 kwa sh 1000 tu ( hichi ni kuanzia saa 6 usiku mpaka saa 12 asubuhi)
Menu
Piga *148*30# chagua No. 5 then TOBOA NIGHT PACK


3. Gb 1 dk 5 mitandao yote Sms 100 kwa sh 1000 tu Wiki
Menu
Piga *150*71# THEN No. 3 vocha na vifurushi chagua Bando Tam Tam ( Unajiunga kupitia T pesa).

4. i) Mb 500 , Dk 30 mitandao yote na SMS 100 kwa sh 1000.
Validity
Siku 5
ii) Mb 800 kwa sh 1000
Validity
Siku 5

iii) Dk 100 za kupiga CM kwenda mitandao yote kwa Sh. 1000 tu.
Menu
Weka vocha kwenye acc yako ya TTCL THEN Download Application ya TTCL HUDUMA ILIYOPO PLAY STORE CHAGUA OFA KABAMBE
Au
Weka Vocha kwenye line yako ya TTCL THEN tutumie namba tutakuunganisha.

5. MB 700 kwa sh 1000 wiki nzima
Menu
Piga *148*30# chagua No. 7 ofa maalum then Suka bundle No. 1
Na Vingine viiiiingi kabisa.
VIFURUSHI VYOTE HIVYO ANAJIUNGA MTU YEYOYE WAKATI WOWOTE MARA ZOTE ...
Hela yako tu.


Rudi Nyumbani Kumenoga.View attachment 1480508
Mnakimbilia kugawa gawiwo serikalini wakati mna matatizo makubwa ya kimtandao.
Pia mfumo wenu wa sms ni ule was stone age, ukiandika character zaidi ya 160 sms haiendi
 
Kama waingia insta huko ndio mchawi yupo
Mnaboa, nwdays mmekua wezi... Nimejiunga Bundle ya 10,000 imekaa wiki 1 tu sometimes hata wiki haifiki ni 4- 5days nikijiunga ya elfu 5 pia haikai... Sidownload Movies wala Apps, Wezi sana nyie wakati zamani my Bundle used to last 1 month. Naitupa line yenu soon.
 
Msaada kwa wanaotumia TTCL simcard na universal modem kwaajili ya internate, naomba mifahamishe setting zake ili kuunganishwa kwenye mtandao

Natumia TTCL simcard na airtelmodem ambayo nimeibadilisha kuwa universal with my lenovo desktop window 8.1 pro
Name: TTCL
APN: Internet
 
Back
Top Bottom