Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
😀😀😀ila we jamaa unachekesha sana kama huwezi kujibu ni vyena kukaa kimya. Wameulizwa coverage ipoje wamepiga kimya kazi tu kutoa poleOoh pole na tatizo mkuu.
Unapatikana wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀ila we jamaa unachekesha sana kama huwezi kujibu ni vyena kukaa kimya. Wameulizwa coverage ipoje wamepiga kimya kazi tu kutoa poleOoh pole na tatizo mkuu.
Unapatikana wapi?
Nakusalim tuu [emoji4]Mnazindua mabando tu wakati bidhaa kama simu wireless za mezani hamna tunaambiwa stock imeisha.
Jipangeni vizuri kwanza.
Nimemtapeli nani humu?Acha utapeli wewe Kinondoni sweetheart!! We ni customer care wa TTCL? au unatafuta uteuzi
Sent from my EVA-L19 using JamiiForums mobile app
NashukuruNakusalim tuu [emoji4]
Hata baadhi ya sehemu za mjini ukishakuwa mbali na Barabara, mfano huku uswahilin kutoka Barabara kubwa kama Kawawa na Morogoro road ukizid kuingia uswahilin network yao mbovu. Pia maeneo ya Kigogo Luhanga kutoka Barabara kubwa pia network yao hovyo sana. Kwahiyo nadhan itakuwa vizur zaid kama mtaimarisha network yenu pia mijin.Tatizo huduma zenu zipo mijini tu yan huku vjijin wala hakuna network mnatiwa gepu kubwa na hawa halotel waliokuja juzi juzi,Halotel network yao inapatikana hadi huku chaka hebu tanueni wigo wa mtandao wenu,hiwezekan kilomita 600 kutoka Dar network hakuna,hili ni shirika la taifa la mawasiliano hebu lipeni hadhi basi.All in all hongereni na hilo bando lenu jipya.
Ndugu mteja, kipindi naanza kutumia mtandao wa TTCL network ilikuwa haipatikani hapa Buza.😀😀😀ila we jamaa unachekesha sana kama huwezi kujibu ni vyena kukaa kimya. Wameulizwa coverage ipoje wamepiga kimya kazi tu kutoa pole
😀😀😀 thank you for your amazing stoy but no thanks.Ndugu mteja, kipindi naanza kutumia mtandao wa TTCL network ilikuwa haipatikani hapa Buza.
Nikawasiliana na uongozi wao, asubuhi nakuta nimeumiwa ujumbe wakiniuliza kuhusu tatizo baada ya kuwaeleza wakasema upo sehemu gani?
Nikawaambia Buza, wananiambia subiri baada ya dakika 5.
Baada ya dakika 5 wananitafuta wakaniambia angalia network kama ipo sawa.
Kudadeki kitu kilikuwa kinasoma H+ ikipungua sana mwisho ni 3G.
Hivyo basi TTCL Customer Care wakikuuliZa unapatikana wapi?
Ujue wanataka wajue tatizo linalokukabili na kulifuatilia ili walitatue.
TTCL anafanya ROAMING kwenye minara ya Tigo
Wewe nenda, lala mapema baadae uwahi kanisani.😀😀😀 thank you for your amazing stoy but no thanks.
Sass ili wafanye roaming lazima wapigiwe?Wewe nenda, lala mapema baadae uwahi kanisani.
Wapigiwe nini?Sass ili wafanye roaming lazima wapigiwe?
Kwa nini nikiwasha data kama natumia line yenu inaweza kuchukua hata masaa mawili kuconnect mbinu mnazidiwa mpaka na halotel watoto wa juzi
Tatizo liko wapi kwenye huduma za serikali hii ya CCM habu eti fukiria nyie ndio mnategemewa mshindane kwenye soko moja na Voda, Airtel, na tigo
Huduma yenu labda muwashinikize wafungwa na misukule kule gamboshi ndio watakaoweza kuitumia ila kwa sisi kwenye akili zetu
#Mtasubiri sana
#Tena sana
Fafanua mkuu ili tuyashughulikie
Salio unaangaliaje?JISOTI #kutokanyumbani TTCL Corporation
Piga *148*30#
Chagua namba 6 Ofa Maalum
Halafu no2 jisoti chagua Gb au Dk mitandao yote
#RudiNyumbaniKumenoga
![]()
![]()
![]()
Ipo mkuuMkuu kuna tamtam plus ya mwezi?