Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Shilingi ngapi na ni MB ngapi?Ipo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shilingi ngapi na ni MB ngapi?Ipo mkuu
Dakika 30(mitandao yote), SMS 300 na GB 2.2Shilingi ngapi na ni MB ngapi?
Kipo cha BANDIKA BANDUA.vifurushi vya usiku mambo ya bando wanavyo hawa???
Asante mkuu,ila hii ni kwa watumiaji wadogo mimi hizo GB 3 nazikamua kwa nusu saa ni kiwa na 4g speed nilikuwa nauliza vifurushi vya usiku ambavyo ni unlimit ili nishushe hata gb 30 kulingana na mahitaji yanguKipo cha BANDIKA BANDUA.
Bei ni Tsh 1,000 unapata GB 4.
MB 500 utatumia mpaka saa 5:59 usiku kisha kuanzia saa 6:00 usiku mpaka saa 12:00 utazimalizia GB 3.5
Dakika za nini?Mimi nataka chenye bando la internet tupuDakika 30(mitandao yote), SMS 300 na GB 2.2
Tsh 5000/=
Tunashukuru kwa kutuandikia.
Unaongea na customercare aibe wafanyakazi tigo au vodacom? Yaani kimisingi unamaanisha yeye atoke apishe haoTTCL
Fanyeni Mpango ibeni watu adhimu kutoka TiGo, Vodacom Au Airtel na muwaajiri kwenu walipeni hata Mara mbili ya wanavyolipwa Sasa
Kusudi Nyumbani kunoge Vizuri Bado hakuja noga kabisa
Mnatoa mb nyingi saa 6 usiku kuliko mchana. kwa nini?Tunashukuru kwa kutuandikia.
Tuna vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji ya mteja.Piga *148*30# kuchagua ukipendacho.
Tunakwenda kwa kasi ya 4G na tunapenda kukukumbusha kurudi nyumbani maana kumenoga.Kwendeniiii
Sijakwambia kwamba sijui menu ya kujiunga vifurushi (natumia data only)Tunashukuru kwa kutuandikia.
Tuna vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji ya mteja.Piga *148*30# kuchagua ukipendacho.
Nimemaanisha Wale Viongozi wa juu wa TTCL wafanye mkakati wa kuwachukua/kuwatafuta wale watu machachari walioko kwenye kampuni kubwa zingine TIGO Au VODACOM. Mfano meneja masoko wa TiGo Au mtu muhumu yeyote inaweza ikasaidia at least kuwawek kwenye truck , Maana TTCL ni ya Mwisho in terms of performance ya hizi kampuni za mawasilianoUnaongea na customercare aibe wafanyakazi tigo au vodacom? Yaani kimisingi unamaanisha yeye atoke apishe hao