Jensen salamone
JF-Expert Member
- Sep 28, 2019
- 320
- 641
Mtaacha lini kufuatilia mawasiliano ya wateja wenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali ya jf ni yamoto ndugu..😂Muwe mnajibu Comments sio mnapost halafu mnapotea.
Mnaogopa maswali?
AseeMtaacha lini kufuatilia mawasiliano ya wateja wenu...?
Wazee mpo nyuma sana sijui kinawakwamisha kitu gani na nyinyi ndio mkonge wa taifa nyinyi wa kushindwa na simba net au raha au Aptus au Tigo au Airtel kweli kwenye huduama zenu sijui mnashindana na nani Kwa kweliTunapenda kuomba radhi wateja wetu kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na kukatika katika mara kwa mara kwa huduma zetu za mawasiliano na T PESA siku ya tarehe 06/04/2021.
Hali hii imetokana na zoezi la kuboresha mtandao wa TTCL upande wa huduma ya T PESA ambalo tulikuwa tunalifanya jana na ambalo tumelikamilisha kwa ufanisi.
Lengo la maboresho haya ni kuendelea kukupa we we mteja wetu huduma za viwango vya juu unavyostahili.
wanaona kama sehemu ya kujinufaisha matumbo yao wakati ndio mahala ambapo panatakiwa kuwa kimbilio wakati wa kupanda kwa bei za bidhaa na huduma.ila mashirika ya serikali sijui huwa yana shida gani
Nakuja huko aisee natafuta kitambulisho changu cha taifa sikioniZantel 1000/- napata 1.25gb + mins and sms per week au bila kikomo.
We dada huoni aibu???TTCL BABA LAO [emoji182]
Nione aibu nimetembea uchi au?We dada huoni aibu???
Mkuu ingekuwa deal ningekutafutia ila sijui hata inauzwa shs ngapi kwa sasa.Wap naweza pata line ya zantel