TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Check huo mzigo wa vodacom, nafikir munajua ni jinsi gani internet ya voda ilivyo speed na ndio mana wanaringa, hii ndo menu yangu kupata ya kwako nenda *149*03# then 2 internate.
Screenshot_20210417-120741_Phone.jpeg
 
Ndo ujinga wao HAO jamaa.
Sasa kama MTU angetaka kutumia GB zake usiku si angejiunga hyo usiku?.
Ila mpaka MTU anajiunnga mchana ina maana anataka kuzitumia mchana
500mb 06:00-00:00
3.5 gb 00:00-06:00

kifupi hii itawafaa wazee wa movie.
 
Back
Top Bottom