TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)

- Maeneo gani? (Tukifahamu maana ulipo, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate msaada toka kwa wakala wetu aliye karibu nawe)

- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?

- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza.

- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.


Zifuatazo ni ofisi zetu za huduma kwa wateja ndani ya jiji la Dar es Salaam.


1. POSTA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Samora, jengo la Extelecom ghorofa la Chini.


2. KARIAKOO
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Makamba/Msimbazi, jengo la Akamba Bus Service.

3. UPANGA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Magole/Maliki, karibu na Diamond Jubilee.


4. MAGOMENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Minaki/Fundiki, karibu na Manispaa ya Kinondoni.


5. KIJITONYAMA
[emoji654][emoji654][emoji654]Kijitonyama Sayansi, barabara ya Ali Hassan Mwinyi/ Rose Garden.


6. OYSTERBAY
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Haile Selassie.


7. UBUNGO
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Ubungo Plaza/ Ghorofa la chini.


8. MBEZI BEACH
[emoji654][emoji654][emoji654]Mbezi Makonde/ Jengo la Shamo Tower.


9. TABATA
[emoji654][emoji654][emoji654]Tabata Bima, barabara ya Segerea karibu na kanisa la Romani Katoliki.


10. CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
[emoji654][emoji654][emoji654]Jirani na tawi la benki ya NBC, jirani na kilipo kituo cha polisi cha UDSM.


11. BARABARA YA PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Mwalimu Nyerere, karibu na Sigara.


12. WAGENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Uwanja wa ndege.


13. PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Quality Centre, ghorofa la chini.


14. KISUTU
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Mchafukoge/Libya jengo la Haad Plaza.


15. TEGETA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Kibo Complex, ghorofa la chini.


16. MWANANYAMALA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Mwananyamala A, barabara ya Mwinjuma yalipo makutano ya Mwananyamala A.


17. KURASINI
[emoji654][emoji654][emoji654]Kurasini Exchange Area, jirani na Chuo cha Diplomasia.


Wasiliana nasi:
[emoji337]022 210 0100
[emoji390] 0738 151 511
[emoji273]www.ttcl.co.tz


#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1529645


Karibu.

Rudi Nyumbani Kumenoga
Mm no yangu ni 0734279900...ilifungiwa na kibaya zaidi mkatoa instructions Airtel wafungie no yangu iliyopo kwao.
Wakaifungia kwa maelekezo yenu.
Mm nakaa Mbagala, mtandao wenu ikifika saa 12 jooni haupatikani hadi asubuhi saa 2, hivyo hua situmii sana line hiyo, hata ilipofungwa, sikujua.
Nilipoenda Airtel waifungue wakaniambi niende Extelecom building, nikawaona wahusika lkn wakakataa kutoa instructions Airtel, bt wakaniambia niwapelekee hiyo instructions, jana nimepata print out ya instructions toka Airtel,nikawaletea hapo Extelecoms. I expect by Monday itafunguliwa.
My complain ni nyie kutoa instructions kwa mtandao mwingine kufungia line yangu wakati mngewez kunipigia na kuniita ktk line ya TTCL...am very upset kwa both companies...kibaya zaidi mmeblock my NIDA ID, TCRA wamekataa kuiblock,wameniambia ni resolve with you.
Nilishaandika barua kujieleza Airtel how am using my line and it has never be on another hand who can conduct criminal events...
Am upset with your services and the business influence you have on other mobile phone subscribers...
 
Mm no yangu ni 0734279900...ilifungiwa na kibaya zaidi mkatoa instructions Airtel wafungie no yangu iliyopo kwao.
Wakaifungia kwa maelekezo yenu.
Mm nakaa Mbagala, mtandao wenu ikifika saa 12 jooni haupatikani hadi asubuhi saa 2, hivyo hua situmii sana line hiyo, hata ilipofungwa, sikujua.
Nilipoenda Airtel waifungue wakaniambi niende Extelecom building, nikawaona wahusika lkn wakakataa kutoa instructions Airtel, bt wakaniambia niwapelekee hiyo instructions, jana nimepata print out ya instructions toka Airtel,nikawaletea hapo Extelecoms. I expect by Monday itafunguliwa.
My complain ni nyie kutoa instructions kwa mtandao mwingine kufungia line yangu wakati mngewez kunipigia na kuniita ktk line ya TTCL...am very upset kwa both companies...kibaya zaidi mmeblock my NIDA ID, TCRA wamekataa kuiblock,wameniambia ni resolve with you.
Nilishaandika barua kujieleza Airtel how am using my line and it has never be on another hand who can conduct criminal events...
Am upset with your services and the business influence you have on other mobile phone subscribers...
Habari,
Samahani kwa changamoto iliyokutokea, ni kweli namba yako imefungiwa kwa kosa la kusambaza ujumbe wa kitapeli.
Wateja wengi waliiripoti namba yako kuhusika kuwatuma jumbe za kitapeli.
 
Kwa nini namba zenu zinatumika Sana na matapeli wanaotuma jumbe za tuma pesa kwenye namba hii?
 
#Watakaatu

196623084_10159662447002884_1618084570688053737_n.jpg
 
Muongeze zaidi ubora wa huduma mshindane na makampuni ya kigeni.Ila mnajitahidi.
 
Back
Top Bottom