Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani,Ahsante sana
Nikaangalie kama laini haijafungiwa
Umesahau kuna mkali mwingine mawasiliano ALLY maswanywa amefanya kazi miaka 10 Airtel mwanza kama msimizi mkuu kwa kanda ya ziwa na badae tigo hata aliwahi kuteliwa na marehem magufuli kuwa mkuu wa (w) songwe hawawajuzi Sana hata sokon wanakwenda sio unaishia Kula kiyoyozi na kupikiwa taarifa za sokonTTCL wangempa mafuru awe director,, mafuru yule aliipaishaga vodacom kipindi akiwa marketing manager wao,,
Au mchechu yule alikua NHC
TTCL Customer Care ivi huu ujinga mmeanza lini, gb moja kuisha kwa nusu saa, bla kaz yyte ya maana kwel???..mnatukera sana tena Sanaa, mtoke huko maofisin Kama hamuwez kazi, haiwezkan gb moja ishindwe kukaa ata lisaa, ni utapeli na UJINGA wa hali ya juu..NA muendele ivoivo muone miaka miwil ijayo itakua wap...mmenikera sanaNdugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?..
@TTCL Customer Care@TTCL Customer Care ivi huu ujinga mmeanza lini, gb moja kuisha kwa nusu saa, bla kaz yyte ya maana kwel???..mnatukera sana tena Sanaa, mtoke huko maofisin Kama hamuwez kazi, haiwezkan gb moja ishindwe kukaa ata lisaa, ni utapeli na UJINGA wa hali ya juu..NA muendele ivoivo muone miaka miwil ijayo itakua wap...mmenikera sana
Huyo dada mweupe mwenye mawani anaitwa nani?
Ova
Na mm nataka nijueMnatoa ofa GB ngapi?
Naunga foleni hapaNa mm nataka nijue