Nipo hapa Ubungo Kinesi.TTCL kama unaishi eneo ambalo miundombinu ya fiber imepita...
Unlimited internet huwa inakuwa hivi mara nyingi... Unapewa kiasi fulani cha data with maximum throughput, kile kiasi kikishakwisha basi unakuwa allocated kwenye speed ndogo
Kwa hiyo line hiyo haina gharama za ziada zaidi ya kulipia hiyo 50k?Waliniambia nikijisajili for supakasi 50k kila mwezi ndio napewa.
Hiyo unayotumia ndio nilikuwa nataka, jamaa wa Voda Shop hawakunielewa. Si unajua bongo mazoea mengi, ukute voda shop nzima wanadili na Malaini na Mpesa.ni hivi mimi natumia VODACOM SUPAKAS internet since last July, na napata 10mbps kwa gharama ya 115,000 (its unlimited).
kwa mimi nililipa security fee (2month) na unapewa router free na wanakuja kukufungia antena. Mnaweza tumia hata watu 10 na speed yake is good honestly unaweza download hata movies au kustream.
Payment yao ni post paid.
sijawahi tumia TTCL fibre but nitajariubu kuulizia pia hiyo supakasi simcard nione inakuwaje
Mkuu, ninatumia zuku fiber 249k p/m, mpbs za kufa mtu, unlimited, kudondosha gb 100, 150 kwa siku easy kabisa.Hamnaga kitu kama unlimited kwa pesa hizo! Tena hao Voda ndio matapeli kabisa
Kuna form unapewa unaijaza, then niliambiwa nilipie Security fee (230,000) ambayo walisema wanarefund ukiunistall.Hiyo unayotumia ndio nilikua nataka, jamaa wa Voda Shop hawakunielewa. Si unajua bongo mazoea mengi, ukute voda shop nzima wanadili na Malaini na Mpesa.
Mkuu nilitaka maoni kutoka kwako ahsante mtu ambae una uzoefu nao.
Ningependa kujua gharama za mwazo hadi napata Vodacom Supakasi kufungiwa antena na modem, japo, unasema ni bure. Nataka jua tu unacholipa mpaka unakua Subscriber.
Voda hawakupi hizo GB wanazoita unlimited! Utapewa 60GB wadanganye ni unlimitedMkuu, nunatumia zuku fiber 249k p/m, mpbs za kufa mtu, unlimited, kudondosha gb 100, 150 kwa siku easy kabisa
Ila mkuu nimesoma vizuri hio karatasi ya TTCL. Rudi waclarify hio DSL modem, maana Fiber haitumii DSL modem bali inatumia Router za kawaida hizi, Router za Adsl ndio zinakuwa na Modem.Wakuu habari zenu.
Natumai mu wazima.
Kutokana na mabando kuwa juu, niliamua kwenda maduka ya TTCL na Voda shop kuangalia home internet.
TTCL walinipa hii details.
View attachment 2097538
Kulingana na matumizi yangu nilipenda hicho cha 55k.
Lakini sijajua wakoje kihuduma plus kununua DSL modem.
Nikaamua kucheki Voda Supa kasi
View attachment 2097542
Voda wana laki 115000 lakini nimeenda Voda Shop Ubungo plaza wananiambia wana Laini ya Supakasi Unlimited 50k kwa mwezi.
Watalaamu naomba ushauri ni ipi reliable isiyo na speed ya kusua sua ili nichukue nihustle kutafuta hela.
Mabando ya 3k kila siku yanaumiza alafu unatumia kibahili sio.
Naombeni msaada sana.
Shukurani in advance.
Funga zuku, kwa mwezi 70,000 uone balaaa lake.Hiyo unayotumia ndio nilikua nataka, jamaa wa Voda Shop hawakunielewa. Si unajua bongo mazoea mengi, ukute voda shop nzima wanadili na Malaini na Mpesa.
Mkuu nilitaka maoni kutoka kwako ahsante mtu ambae una uzoefu nao.
Ningependa kujua gharama za mwazo hadi napata Vodacom Supakasi kufungiwa antena na modem, japo, unasema ni bure. Nataka jua tu unacholipa mpaka unakua Subscriber.
Sijatumia Fiber ya TTCL ila sijawahi ona Tanzania Fiber yoyote inayo operate kwa Chini ya kiwango, Zuku wenyewe ukiwa mlipaji mzuri wana double speed, ina maana Hakuna wateja wanaoweza kui overload.TTCL wako vizuri speed? Hawana longo longo?
Shukuran sana.kuna form unapewa unaijaza, then niliambiwa nilipie Security fee (230,000) ambayo walisema wanarefund ukiunistall.
hii huduma nafikiri shops back office ndo wanaifahamu, kwa voda shops staffs wa mbele ya count nahisi wengi hawajui kwani imekaa ki-corporate sana.
Shukuran sana mkuu. Umenisaidia sana. Nitarudi kesho mapema.Ila mkuu nimesoma vizuri hio karatasi ya TTCL. Rudi waclarify hio DSL modem, maana Fiber haitumii DSL modem bali inatumia Router za kawaida hizi, Router za Adsl ndio zinakuwa na Modem.
Natumai sitakuchosha. Je, Matumizi yako ya internet yanavuka 100gb?kuna form unapewa unaijaza, then niliambiwa nilipie Security fee (230,000) ambayo walisema wanarefund ukiunistall.
hii huduma nafikiri shops back office ndo wanaifahamu, kwa voda shops staffs wa mbele ya count nahisi wengi hawajui kwani imekaa ki-corporate sana.
Voda ipo mzee sisi tunatumia ofisini huu unaenda MWAKA 2. Kuna kipindi huduma ilisuasua ila kuanzia mwaka jana katikati mwanzo mwisho inakimbiza hata router walitupa kubwa ya HUAWEI awali tulikuwa tunatumia Mi-fi za ALCATEL.Hamnaga kitu kama unlimited kwa pesa hizo! Tena hao Voda ndio matapeli kabisa
Ahsante sana mkuu.Voda ipo mzee sisi tunatumia ofisini huu unaenda MWAKA 2
kuna kipindi huduma ilisuasua
ila kuanzia mwaka jana katikati mwanzo mwisho inakimbiza hata router walitupa kubwa ya HUAWEI awali tulikuwa tunatumia Mi-fi za ALCATEL
KWA makadilio ya matumizi kwa miezi 3 tangu novemba mpk leo milivoangalia tushatumia zaidibya terabyte 2 za data(2tb)
ambazo tumelipia kama laki 3 na 45 kwa maana ya laki na 15 kwa mwezi
hvyo tunaweza sema tumenunua gb 700 kwa laki tu na 15 kila mwezi
na mm ndio natumia sana 7bu ndio pekee nadownload mafile makubwa makubwa kwa siku 1 naweza downloda hata gb 20 ni movie tu au APPS
hyo ndugu namshauri achukue VODA
ttcl ni kichomi hutakuja kujuta baadae
VODA unlimited ni REALY sio blahblaha
ila tu vigezo mashart kuzingatiwa hapo ndio kipengele
wewe nenda na vielelezo vy ofisi yako maana kuna mashart na vigezo kuzingatiwaHiyo unayotumia ndio nilikua nataka, jamaa wa Voda Shop hawakunielewa. Si unajua bongo mazoea mengi, ukute voda shop nzima wanadili na Malaini na Mpesa.
Mkuu nilitaka maoni kutoka kwako ahsante mtu ambae una uzoefu nao.
Ningependa kujua gharama za mwazo hadi napata Vodacom Supakasi kufungiwa antena na modem, japo, unasema ni bure. Nataka jua tu unacholipa mpaka unakua Subscriber.
mkataba ni mwaka kila mwezi ni laki na 15 utumie internet usitumie unalipa tu hiyo laki na 15Ahsante sana mkuu.
Unachofanya ndio nafanya ndio maana nahitaji mzigo wa Internet.
Umenipa mwanga sana
Kama hutajali unaweza sema vigezo na masharti vinakuaje kipengele