TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Well, mie natumia fiber network ya TTCL na ninalipa 200,000 kwa mwezi kwenye hicho kifurushi cha 100/50 mbps.

Limit ya kifurushi ni 1TB kwa mwezi at maximum speed na kwa kweli huduma ipo very reliable. Ukiwa unatumia unaweza strea 4k contents bila buffering.

based on that, mie napigia chapuo TTCL all the way.

Asante
Dah this is more than enough! Kwa mpenz wa yutyubu kama mimi ni full burudani tu tena hiko nzuri unaweza share costs na jirani yako mkawa mna enjoy tu kuangalia ma movies netflix bila kokoro mwezi mzima.

Roughly utatakiwa utumie 33GB kila siku ili uweze ku exhaust hilo bundle kwa mwezi mzima. Labda mulishambulie watu wawili hata hivyo siku za kazi ni ngumu kulimaliza unless uwe downloader mzuri wa softwares na large content kama series.

Kulifaidi zaidi ni on weekends na tena muwe sio watu wa kutoka.
 
Cabling nafikiri unamaanisha zile Ethernet cable sio.

Na hio 12mbps unapata wapi? Wakati wa kudownload? 12x8 ni 96 hapo inamaana 100mbps yako ipo.
Yes, nina maanisha ethernet cables kwa ajili ya devices kama tv, ps, na computers.

Then vitu kama simu na portable machines unaunganisha wifi.

12mbps napata wakati wa kudownload na natumia IDM kama kipimo. Ikishuka sana inafika 7
 
Dah this is more than enough! Kwa mpenz wa yutyubu kama mimi ni full burudani tu tena hiko nzuri unaweza share costs na jirani yako mkawa mna enjoy tu kuangalia ma movies netflix bila kokoro mwezi mzima.

Roughly utatakiwa utumie 33GB kila siku ili uweze ku exhaust hilo bundle kwa mwezi mzima. Labda mulishambulie watu wawili hata hivyo siku za kazi ni ngumu kulimaliza unless uwe downloader mzuri wa softwares na large content kama series.

Kulifaidi zaidi ni on weekends na tena muwe sio watu wa kutoka.
Kwa matumizi ya kawaida ni kubwa sana hili bando na mie hata nikistream 4k content bado simalizi.

Kwa faida ya wengine, nimeanza kutumia hii huduma tangu October 2021.

Asante
 
Kwa kweli sijawahi maliza 1TB kwa mwezi ila based on their info, wanabana bandwith ila sijui kwa kiwango gani.
Kama wanabana kwa namna ambayo hutapata buffers zile haina kwere! Sio speed ndogo mpaka ukwame kabisa ku stream yani video igande gande huo ni utakuwa upuuzi
 
Back
Top Bottom