TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL
ttcl wana 1.Fibre optic ambayo iko baadhi ya sehemu hasa Masaki na wana 2.copper connection ambayo wanatumia waya na nguzo zilezile zilizokuwa zikitoa huduma ya simu za mezani na fax.
Hapa nitazungumzia copper connection ambayo mimi nimeweka nyumbani, ukiwa nje au karibu na nyumba kuna nguzo ya ttcl na ina waya, unaweza kuomba waje kufanya utafiti kama line iko active.
Wakikuta iko hai utakwenda kulipia.
Wana Vifurushi vitatu 1. Speed 2~3 mbps. (25,000/-) 2. Speed 5.5~6.2 mbps. (50,000/-). 3. Hiki ni 80,000/- lakini sijajua speed.
Kwa ninacho tumia mpaka kinaenda vizuri.
Tatizo moja tu nilipoomba walisema hawana router ilinibidi niagizie router yangu mwenyewe. Wanatumia ADSL 2+ routers.
 
TTCL
ttcl wana 1.Fibre optic ambayo iko baadhi ya sehemu hasa Masaki na wana 2.copper connection ambayo wanatumia waya na nguzo zilezile zilizokuwa zikitoa huduma ya simu za mezani na fax.
Hapa nitazungumzia copper connection ambayo mimi nimeweka nyumbani, ukiwa nje au karibu na nyumba kuna nguzo ya ttcl na ina waya, unaweza kuomba waje kufanya utafiti kama line iko active.
Wakikuta iko hai utakwenda kulipia.
Wana Vifurushi vitatu 1. Speed 2~3 mbps. (25,000/-) 2. Speed 5.5~6.2 mbps. (50,000/-). 3. Hiki ni 80,000/- lakini sijajua speed.
Kwa ninacho tumia mpaka kinaenda vizuri.
Tatizo moja tu nilipoomba walisema hawana router ilinibidi niagizie router yangu mwenyewe. Wanatumia ADSL 2+ routers.
router bei gani uliyonunua
 
TTCL
ttcl wana 1.Fibre optic ambayo iko baadhi ya sehemu hasa Masaki na wana 2.copper connection ambayo wanatumia waya na nguzo zilezile zilizokuwa zikitoa huduma ya simu za mezani na fax.
Hapa nitazungumzia copper connection ambayo mimi nimeweka nyumbani, ukiwa nje au karibu na nyumba kuna nguzo ya ttcl na ina waya, unaweza kuomba waje kufanya utafiti kama line iko active.
Wakikuta iko hai utakwenda kulipia.
Wana Vifurushi vitatu 1. Speed 2~3 mbps. (25,000/-) 2. Speed 5.5~6.2 mbps. (50,000/-). 3. Hiki ni 80,000/- lakini sijajua speed.
Kwa ninacho tumia mpaka kinaenda vizuri.
Tatizo moja tu nilipoomba walisema hawana router ilinibidi niagizie router yangu mwenyewe. Wanatumia ADSL 2+ routers.
Safi sana mkuu, speed iko vizuri au?
Hakuna limit ya matumizi?
 
TTCL
ttcl wana 1.Fibre optic ambayo iko baadhi ya sehemu hasa Masaki na wana 2.copper connection ambayo wanatumia waya na nguzo zilezile zilizokuwa zikitoa huduma ya simu za mezani na fax.
Hapa nitazungumzia copper connection ambayo mimi nimeweka nyumbani, ukiwa nje au karibu na nyumba kuna nguzo ya ttcl na ina waya, unaweza kuomba waje kufanya utafiti kama line iko active.
Wakikuta iko hai utakwenda kulipia.
Wana Vifurushi vitatu 1. Speed 2~3 mbps. (25,000/-) 2. Speed 5.5~6.2 mbps. (50,000/-). 3. Hiki ni 80,000/- lakini sijajua speed.
Kwa ninacho tumia mpaka kinaenda vizuri.
Tatizo moja tu nilipoomba walisema hawana router ilinibidi niagizie router yangu mwenyewe. Wanatumia ADSL 2+ routers.
Screenshot_20220128-211743.png

Bila shaka ni hii.
 
Mkuu hiyo line ya supakasi ipoje
kinachobailika ni profile ya hio laini km ilikua for normal services za internet wao wanaweka kwenye hio profile, the difference is a speed, mfano ni supakasi inakua na high priority, then normal internet follows, watu wa IT wananielewa, you can priotize services per source ya traffic or service level
 
Kingine km wanatumia DSL wao wanaunganisha na copper cables and not fiber kule mwisho....from your router to fiber terminal, na wanaposema unlimited that's is a business term but hakikicha unachukua dedicated instead of unlimited, (dedicated ni kua km umelipia 10Mbps unapata hio download and upload) but unlimited, mnagombania....mnawekwa kwenye same pool all users in that zone ndio maana km user ni wengi in that zone speed ya internet inakua very slow mpaka wakati mwingine hata page haifunguki..
 
Kingine km wanatumia DSL wao wanaunganisha na copper cables and not fiber kule mwisho....from your router to fiber terminal, na wanaposema unlimited that's is a business term but hakikicha unachukua dedicated instead of unlimited, (dedicated ni kua km umelipia 10Mbps unapata hio download and upload) but unlimited, mnagombania....mnawekwa kwenye same pool all users in that zone ndio maana km user ni wengi in that zone speed ya internet inakua very slow mpaka wakati mwingine hata page haifunguki..
Dah nimepata maarifa sana. Dedicated bei gani mkuu?
 
Kingine km wanatumia DSL wao wanaunganisha na copper cables and not fiber kule mwisho....from your router to fiber terminal, na wanaposema unlimited that's is a business term but hakikicha unachukua dedicated instead of unlimited, (dedicated ni kua km umelipia 10Mbps unapata hio download and upload) but unlimited, mnagombania....mnawekwa kwenye same pool all users in that zone ndio maana km user ni wengi in that zone speed ya internet inakua very slow mpaka wakati mwingine hata page haifunguki..
Ni kwa TTCL sio?
 
Back
Top Bottom