Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
sema 1TB parefu, si mbayaKwa kweli sijawahi maliza 1TB kwa mwezi ila based on their info, wanabana bandwith ila sijui kwa kiwango gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sema 1TB parefu, si mbayaKwa kweli sijawahi maliza 1TB kwa mwezi ila based on their info, wanabana bandwith ila sijui kwa kiwango gani.
ila wakiipata wale jamaa wanaouza movies umekwisha.1TB ni bonge la dude. Unaweza connect hata majirani ukawa unawachangisha tu mnashea kama router itakuwa na nguvu.
100mbps ni 12.5MBps ya IDM. hivyo mkuu hio speed bado inaonesha fiber ina capacity nzuri, sometime speed inaweza shuka sababu ya server pia unapodownload content.Yes, nina maanisha ethernet cables kwa ajili ya devices kama tv, ps, na computers.
Then vitu kama simu na portable machines unaunganisha wifi.
12mbps napata wakati wa kudownload na natumia IDM kama kipimo. Ikishuka sana inafika 7
sema 1TB parefu, si mbaya
100mbps ni 12.5MBps ya IDM. hivyo mkuu hio speed bado inaonesha fiber ina capacity nzuri, sometime speed inaweza shuka sababu ya server pia unapodownload content.
Mkuu samahani, naomba ufafanuzi unaposema speed inashuka mpaka 12mbps on average ni 12megabytes ama 12megabits? Manake kama itakua ni 12mbps(megabits) nahisi speed inapungua sana?Speed ni nzuri sana hasa ukizingatia hii fibre ni shared line so hupati 100/50 mbps ila mie by average inakuwa 9-12mbps
Pia gharama zako kwa unaetaka kuunganishwa ni kununua router tu na kufanya cabling ya fiber ambapo unaweza ukaachakana a cabling ukaweka tu wifi router japo nashauri utandaze waya wa fiber maana kwa mtazamo wangu speed yake na connection inakuwa reliable zaidi kuliko kwenye wifi.
Mie nichomeka waya mmoja kwenye tv na ps.
karibu
Mkuu, mimi ni fundi simu wa software kwa siku natumia si chini ya 20GB maana kushusha files za 4GB-7GB ni kawaida na kwa siku nashusha files kuanzia tano na kuendelea acha hizi za 2GB na 1GBHio unlimited haikatiki katiki?
Usije ukawa utoto wa kuambiana unlimited kama ile bundle ya week af baada ya siku 3 lina expire kilazima ili tu ununue jengine kama washenzi flani wanavyotufanyia?
Mkuu Zuku waje na Tabata basiMkuu, mimi ni fundi simu wa software kwa siku natumia si chini ya 20GB maana kushusha files za 4GB-7GB ni kawaida na kwa siku nashusha files kuanzia tano na kuendelea acha hizi za 2GB na 1GB
Njoo mtaa wa Aggrey pita kwa fundi simu yeyote yule anayefanya software kisha muulize anatumia internet ya kampuni gani, jibu litakuwa ni zuku
Na hawakati wala kupunguza speed maana kama mimi kazi yangu bila internet haiendi kabisaaa
Wasiliana nao tu hawana gharama kubwa ukilipia elf 70 basi imeisha hiyoMkuu Zuku waje na Tabata basi
Safi sana. Hizi mambo zisambazwe nchi nzima.Mkuu, mimi ni fundi simu wa software kwa siku natumia si chini ya 20GB maana kushusha files za 4GB-7GB ni kawaida na kwa siku nashusha files kuanzia tano na kuendelea acha hizi za 2GB na 1GB
Njoo mtaa wa Aggrey pita kwa fundi simu yeyote yule anayefanya software kisha muulize anatumia internet ya kampuni gani, jibu litakuwa ni zuku
Na hawakati wala kupunguza speed maana kama mimi kazi yangu bila internet haiendi kabisaaa
Hiyo fiber huku mbwinde haijafikaMkuu Fiber ni way better kuliko mitandao ya simu, go with Fiber.
Hope yenu mnaokaa nje ya miji ni kina voda na Tigo. Safaricom Kenya wanayo 5mbps unlimited kwa around 50,000. Hope voda nao wataleta na huku.Hiyo fiber huku mbwinde haijafika
Hii sio biashara individual anaweza fanya, maana inahitaji investment kubwa sana faida unakuja kuiona baadae huko.Yaani bongo hii ni fursa ya mamilioni.
Mtaji ni bei gani?