Lets say kwa siku unadownload files kama 100gb and above daily unazishusha,voda supakasi speed yao itabaki pale pale hawatosumbua kukuminyia?Yes lkn apa nmejilst in cost issue ila FWA ni mbdala wa fiber lkn Kwa bongo Bado haijafika Io technology
Hasumbui mkuu me Kwa sku nadondosha files 200Gb Wala sjawah ona kupunguziwa speedLets say kwa siku unadownload files kama 100gb and above daily unazishusha,voda supakasi speed yao itabaki pale pale hawatosumbua kukuminyia?
Pia ya depends na user mliopo eneo husika coz ni shared internet so dedicated ndo maan it's up to means mkiwa user weng mnara husika inajgawa kulingna na matumizi ya user'sVoda Supakasi hawana limit ya speed kama utakua mtu wa kushusha files kubwa kubwa zinazonyonya data haswaaa?
Hawa jamaa wako slow sana, walitakiwa wasambaze toka zamani,Wadau humu kuna mtu yetote amepata hii huduma afafanue wanavyosema bure hakuna kifaa chochote mteja anachotakiwa kununua?View attachment 2313346
ina maana kwa mwezi 5Tb kwako ni kawaida kabisaHasumbui mkuu me Kwa sku nadondosha files 200Gb Wala sjawah ona kupunguziwa speed
Last month nlfika 2TBina maana kwa mwezi 5Tb kwako ni kawaida kabisa
Kibamba Hospitali na Luguruni mmeshafika?Tayari mzee
#RudiNyumbaniKumenoga
User nipo peke yangu yani naitaka kuileta Ofsini,computer za kazi zipo zaidi ya 5 na zote zina watu ila computer 1 tu ndio nataka iunganishwe means user ni mmoja Tu. Speed yao inakuyumba yumba mkuu?Pia ya depends na user mliopo eneo husika coz ni shared internet so dedicated ndo maan it's up to means mkiwa user weng mnara husika inajgawa kulingna na matumizi ya user's
Apo basi u will enjoy a lot Cha kufanya ni kufata procedures then upatiwe huduma uenioy zaidUser nipo peke yangu yani naitaka kuileta Ofsini,computer za kazi zipo zaidi ya 5 na zote zina watu ila computer 1 tu ndio nataka iunganishwe means user ni mmoja Tu. Speed yao inakuyumba yumba mkuu?
Sawa Sawa mkuu,ngoja nione cost zao zipo vipiApo basi u will enjoy a lot Cha kufanya ni kufata procedures then upatiwe huduma uenioy zaid
@The bump mcheki huyu dgo ataksaidia me ndo alinifungia now nainjoy tu hapa kwang mkuuVODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICE
Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
20 LTE 20Mbps 115,000/=Tu kila mwezi
Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
30 LTE 30Mbps 165,000/=Tu kila mwezi
For more information
Please check me [emoji338]0744355811View attachment 2309973View attachment 2309974View attachment 2309975
TTCL fiber wanachukua muda kufanya installation. Ni shida .
BalaaWaiting list ni ndefu mkuu. Nilienda kuomba fibre juzi nikachanwa kwamba itachukua mda kidogo. Kuna watu 500 ambao wanaisubiria
Amia supakasi mapema tu unapata internet YakoWaiting list ni ndefu mkuu. Nilienda kuomba fibre juzi nikachanwa kwamba itachukua mda kidogo. Kuna watu 500 ambao wanaisubiria
BalaaWatu wabishi kweli.View attachment 2321506
Mambo ya TanescoWaiting list ni ndefu mkuu. Nilienda kuomba fibre juzi nikachanwa kwamba itachukua mda kidogo. Kuna watu 500 ambao wanaisubiria
Jamaa wapo ki TANESCO zaidiHawa jamaa wako slow sana, walitakiwa wasambaze toka zamani,
Kuna maeneo tayari wenzao wamewahi.
vifurushi ni ivyo tu viwili?@The bump mcheki huyu dgo ataksaidia me ndo alinifungia now nainjoy tu hapa kwang mkuu