Huduma za TTCL ni za ajabu sana, fiber imekata Toka alhamisi mpaka leo ni siku ya 5 huduma sipati hapa nilipo... Nimefatilia sana ila naona Mambo ya ajabu tu... Watumishi wa hili shirika ndo wanaliua.. upuuzi kama huu unasababisha shirika watu waliogope.. nosense kabisa
Just assume nipo less than a km Toka makao makuu ya shirika la TTCL ya mkoa nliopo na huduma zinakuwa ovyo kiasi hiki, vipi walioko wilaya tofauti inapotokea kukosekana kwa huduma inakuwaje.. waache kufanya kazi kimazoea yaani kama vile shirika halijajiandaa kufanya kazi
Just assume nipo less than a km Toka makao makuu ya shirika la TTCL ya mkoa nliopo na huduma zinakuwa ovyo kiasi hiki, vipi walioko wilaya tofauti inapotokea kukosekana kwa huduma inakuwaje.. waache kufanya kazi kimazoea yaani kama vile shirika halijajiandaa kufanya kazi