Hamnaga kitu kama unlimited kwa pesa hizo! Tena hao Voda ndio matapeli kabisa.
Mkuu Supakasi ni tofauti na kasi internet?
Maana mm natumia kasi internet, wanatoa gb 37 zikiisha wanapunguza speed.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta usibitisho boss[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vodacom jichanganye na speed zao kama hapo US 1GB kwa dk 3
Hapo kweli kabisaNi vizuri ukauliza kwa makini sana maana mitandao hapa Tz wakikwambia Unlimited wanamaanisha ku browse tu, ku download inkuwa limited either 50GB au 40GB nk
Labda kwa Tanzania, nchi kama India JIO na Airtel Fiber wanakupa huduma ya uhakika tena at 50mbps kwa less than Tshs 40000 monthlyHamnaga kitu kama unlimited kwa pesa hizo! Tena hao Voda ndio matapeli kabisa.
Hali ikoje hadi sasa mkuu? Speed inakuwa ileile mwezi mzima?Ni hivi, mimi natumia VODACOM SUPAKAS internet since last July, na napata 10mbps kwa gharama ya 115,000 (its unlimited).
Kwa mimi nililipa security fee (2month) na unapewa router free na wanakuja kukufungia antena. Mnaweza tumia hata watu 10 na speed yake is good honestly unaweza download hata movies au kustream.
Payment yao ni post paid.
Sijawahi tumia TTCL fiber but nitajariubu kuulizia pia hiyo supakasi simcard nione inakuwaje
Mkuu ungeeleza hivyo vigezo na masharti ungetusaidia sanaVoda ipo mzee sisi tunatumia ofisini huu unaenda MWAKA 2. Kuna kipindi huduma ilisuasua ila kuanzia mwaka jana katikati mwanzo mwisho inakimbiza hata router walitupa kubwa ya HUAWEI awali tulikuwa tunatumia Mi-fi za ALCATEL.
KWA makadilio ya matumizi kwa miezi 3 tangu Novemba mpaka leo nilivyoangalia tushatumia zaidi ya terabyte 2 za data(2tb)
ambazo tumelipia kama laki 3 na 45 kwa maana ya laki na 15 kwa mwezi.
Hivyo tunaweza sema tumenunua gb 700 kwa laki tu na 15 kila mwezi na mimi ndio natumia sana sababu ndio pekee nadownload mafile makubwa makubwa kwa siku 1 naweza downloda hata gb 20 ni movie tu au APPS
hyo ndugu namshauri achukue VODA
ttcl ni kichomi hutakuja kujuta baadae
VODA unlimited ni REALY sio blahblaha
ila tu vigezo mashart kuzingatiwa hapo ndio kipengele
Tigo kwahiyo ela anapata 65GBHii ndio kawaida yao kama upo fine endelea ila mimi Tsh55 kwa 37GB hapana
Hongera. Vipi hakuna kiwango cha matumizi ya data? Labda ukifikisha 1 terabyte internet ina kata au slow down?Leo nimefunga nyumbani Vodacom Supakasi..kiukweli ipo vizuri na inastream poa kabisa kwa wapenzi wa content za online..kama haupo karibu na access ya fiber basi supa kasi itakufaa..
Yatolewa na voda au mtu binafsi?Dar nzima na mikoani waeza pata pia
To get Vodacom 5G internet service vigezo niMkuu ungeeleza hivyo vigezo na masharti ungetusaidia sana
No need for antenna kama LTE ambayo yahtaj antennaYatolewa na voda au mtu binafsi?
Yahitaji Antena au?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Vodacom Tanzania PLC ndo ana provde this serviceYatolewa na voda au mtu binafsi?
Yahitaji Antena au?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Maana yake nahama nayo popote pale?No need for antenna kama LTE ambayo yahtaj antenna
Hii utapew Nokia fastmile gateway device Kwa ajili ya kupata internet through FWA system mkuu
5G coverage iko temboni, bonyokwa, Saranga, kimara,sukaMaana yake nahama nayo popote pale?
Je kwa Mbeya Kyela itafanya kazi?
Kwa Dsm Saranga itafanya kazi? Kule kuna sehemu za miinuko sana?
Kama itafanya kazi tuongee tufanye biashara
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwamba fiber ya ttcl ipo morogoro road?Ttcl Adsl kuanzia Ubungo Mataa kuelekea Kimara, Mbezi Mwisho nk haipo, wanadai raia walishaharibu miundombinu.
Ttcl fiber kwenye maeneo hayo wanasema wanamsubiri mzabuni alete vifaa ndio wataanza kuwafungia waliofanya maombi tayari.
Wanachofanya kwa sasa ukienda unajaza form yao, kisha unasubiri mafundi wanaofanya survey ya kila Jmos na Jpili.
NB: Kama ttcl wameshindwa kucover fiber Dar tuu, kimkoa kidogo namna hii, sijui huko mikoani watakuja wafikiwe lini.
View attachment 2377762