Is_haq91
Senior Member
- Dec 27, 2022
- 129
- 804
ivi wakuu kwa anayetumia package ya 5G vodacom supakasi ya 120,000/=unajuaje kama kwl umeletewa 5G na sio 4G ya 115,000/= ukiachana na kupima speed kama inafika 30Mbps?
Watakupa hii router
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ivi wakuu kwa anayetumia package ya 5G vodacom supakasi ya 120,000/=unajuaje kama kwl umeletewa 5G na sio 4G ya 115,000/= ukiachana na kupima speed kama inafika 30Mbps?
Nimetuma complain sijui itachukua mda gani... ila naisi line yangu labda ipo enabled iko kifurushi cha 120k ila wamekosea tu kuleta router sababu naona ikijitaidi sometimes inafka ivi sielewi:-Na speedtest yake hii View attachment 2611628
Mwasiliano yao plsWasiliana nao tu hawana gharama kubwa ukilipia elf 70 basi imeisha hiyo
Kama marekani tu wanalipa kama kodi ya nyumbaNafikiri ifike muda hii huduma ya internet majumbani na maofisini iwe kama luku.
Sidhani kama kuna taasisi ya serikali ina sifa hizo
Vip kibamba wapo au tuwasubiri
Hapana bora zamani mzee aliwakazia kiutendaji walibadilika sana now wamekuwa hovyo sana.
Nape alikataaHivi mpaka Leo Elon musk wamembania na internet yake Nina amini angepewa fursa huyu jamaa hapa nchini Hawa wakina voda na mwenzake akili ingewakaa sawa.
Tuna urasimu wa hivyo Sana hii nchi.
Nenda hapo ofisini kwao na details zote,washa moto kesho wanakuungaNipo Dar es Salaam Mbagala nani mwenye changamoto kama yangu jaman ni wiki ya 3 sasa Superkasi hawajaniletea huduma nishalipia na 240,00/=0 yao.
200MB per second?Tigo 4G inapeleka moto sio poa. Siku hizi sitaki kabisa kufanyia speed test
View attachment 2609021
View attachment 2609022
Angalia simu yako maximum download limit per sec ni MB ngapi?Nyinyi mnafanyaje fanyaje speed inakua ivyo? Mimi kwangu ipo ivi, ni 2MB ikizidi ni 7MB kufika 10MB ni mara chache sana
View attachment 2609408
Inaathiriwa na satelite iwe last option umekosa internet zote ndio nenda huko.Kuna ambae ameshawahi kutumia hawa jamaa wa konnect? Je speed yao ipo vipi? Je mfumo wa satellite wanaotumia hau hathiliwi na hali ya hewa kama tunavo ona kwenye ving'amuzi?
Ttcl ilikua pia ni option nzuri sema ndo vile haipatikan maeneo yote ukiangalia kwa bei za package zao..Inaathiriwa na satelite iwe last option umekosa internet zote ndio nenda huko.
Issue hao jamaa ukimaliza gb kadhaa wanashusha speed hadi 1mbps si bora uunge voda kasi internet?Ttcl ilikua pia ni option nzuri sema ndo vile haipatikan maeneo yote ukiangalia kwa bei za package zao..
Kumbe na hii fiber nayo hua inaminywaIssue hao jamaa ukimaliza gb kadhaa wanashusha speed hadi 1mbps si bora uunge voda kasi internet?
Fiber Haiminywi, nazungumzia hao konect mkuu wa Satelite.Kumbe na hii fiber nayo hua inaminywa
Hapa labda unamaanisha 5ghz band ila wao wanakuwekea 2.4ghz peke yake.Ili upate speed nzur kwa ttcl tumia wifi 5 kama simu yako au device yako inaruhusu.
View attachment 2608818