Is_haq91
Senior Member
- Dec 27, 2022
- 129
- 804
Wanakuwekea zote mbnaHapa labda unamaanisha 5ghz band ila wao wanakuwekea 2.4ghz peke yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuwekea zote mbnaHapa labda unamaanisha 5ghz band ila wao wanakuwekea 2.4ghz peke yake.
Ukitazama quality ya matangazo hayo mawili utapata majibuWakuu habari zenu.
Natumai mu wazima.
Kutokana na mabando kuwa juu, niliamua kwenda maduka ya TTCL na Voda shop kuangalia home internet.
TTCL walinipa hii details.
View attachment 2097538
Kulingana na matumizi yangu nilipenda hicho cha 55k.
Lakini sijajua wakoje kihuduma plus kununua DSL modem.
Nikaamua kucheki Voda Supa kasi
View attachment 2097542
Voda wana laki 115000 lakini nimeenda Voda Shop Ubungo plaza wananiambia wana Laini ya Supakasi Unlimited 50k kwa mwezi.
Watalaamu naomba ushauri ni ipi reliable isiyo na speed ya kusua sua ili nichukue nihustle kutafuta hela.
Mabando ya 3k kila siku yanaumiza alafu unatumia kibahili sio.
Naombeni msaada sana.
Shukrani in advance.
Inategemea na fundi aliyefanya configuration ya router wengi wanaweka band moja tu.Wanakuwekea zote mbna
Ikishakuwa wifi 5 kuendelea inakuwa na band zote 2.4ghz na 5Ghz.Inategemea na fundi aliyefanya configuration ya router wengi wanaweka band moja tu.
Mkuu ukicheki kwenye router yako ina connect 5g?View attachment 2679587
Hivi hii changamoto ni kwangu tu au hadi huko kwenu.
Namaliza mwezi sasa Supakasi kupata 10Mbps ni ndoto.
Mkuu ukicheki kwenye router yako ina connect 5g?
Kwanini usihamie 5g mkuu?Router yangu ni ya 4G.
Leo nimewacheki asubuhi wameweka mambo sawa napata hata 10mbps.
Kwanini usihamie 5g mkuu?
Ivi hii kitu ni true unlimited au wana punguza speed baada ya kiwango flani cha matumizi.Kwanini usihamie 5g mkuu?
Ivi hii kitu ni true unlimited au wana punguza speed baada ya kiwango flani cha matumizi.
Kwa Uelewa wangu ni unlimited mkuu, sijajua kama wana Throttle uki abuse.
Mfano Fiber ya TTCL ni 1TB kwenye Terms zao wameandika, ina maana uki abuse na kutumia zaidi ya 1TB kisheria wanaruhusiwa kupunguza speed.Ni unlimited mkuu Mimi natumia tena naona ukilipa kwa wakati wana double mpaka Mbps 40
Mfano Fiber ya TTCL ni 1TB kwenye Terms zao wameandika, ina maana uki abuse na kutumia zaidi ya 1TB kisheria wanaruhusiwa kupunguza speed.
Sijajua term za Voda zipoje.
Voda ni uwezo wako tu, ukitaka ualike kijiji kije kitumie wi-fi bure ni wewe tu, piga mpaka 10TB kwa mwezi hakuna tatizo.Mfano Fiber ya TTCL ni 1TB kwenye Terms zao wameandika, ina maana uki abuse na kutumia zaidi ya 1TB kisheria wanaruhusiwa kupunguza speed.
Sijajua term za Voda zipoje.
Ninazo router za 1800 MbpsLatency yake ikoje man.